KIKOSIKAZI
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 2,221
- 1,145
Mi nasema waache wavae tu hawasikii hao hakuna namna.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa yan yote yanayofanywa na wanawake ili kuonekana warembo wanalenga kuonwa/ wapendw na wanaume na wala hawafany kwa ajili yao wenyew au wanawak wenzao.Wanatafuta soko wenzenuChukua LIKE nyingi. Wao ndo wanafanya wanawake wajichubue, wabandike kope, waweke mat.ko, matiti nk...na wale walio natural wanawaona washamba...
uwiiiii kumbe na mbon waga zinawekwa. bas mi ntakua mshamba kwelBado wale wanaoweka mboni, yani hawa wanajiscorpion wenyewe
Hahahaaaaa...Wanaweka mboni wanakua kama mazombie
Mimi niliwasilisha tafiti hapa. Wanawake warembo barani afrika na sisi ni no, 9. Mlikataa. Wanawake wetu hapa kila kitu bandia. Shida kubwa ya hawa watu wanafikiri kujiremba sana tena kwa vitu bandia wataonekana warembo. Ndio maana wanapenda kuomba sana pesa ili wajirembe tu basi. Badala ya kujishughulisha na utafutaji wa pesa ili kipato kikuwe.Wanaweka mboni wanakua kama mazombie
Hapo kwenye avatar ni ww?Yaani Mimi hayo makitu ndo mtanifunga kamba labda ndo mniwekee, jinsi nilivyozaliwa ndo ivoivo kama bae kanipenda na weusi wangu yatoshaaa
YapHapo kwenye avatar ni ww?
Hongera.
Asante, sifa zimrudie MunguHongera.
Hao wanawake wameshikiwa akili? Unajua kuna vitu vingine ni ujinga kumlaumu binadamu mwenzako.Chukua LIKE nyingi. Wao ndo wanafanya wanawake wajichubue, wabandike kope, waweke mat.ko, matiti nk...na wale walio natural wanawaona washamba...
Ukikutana na mwanamke anajipodoa sana ujue huyo ni mmoja wa manungayembe yanayohangaika, wanawake wanaojikubali na kutunza uhalisia wao wanaolewa, na wakileta huo ujinga kwenye ndoa ndo hao wanaitwa single mother.Wanawake wengi hawajikubali walivyo..Sasa mtu unaanzaje kununua kope uziegeshe kwenye macho. Kwani kope zako zimetoka?? Wanaume wanapenda mwanamke natural sasa akikutana na huyo wa kujichubua na kujipiga kope bandia atambandua na kukimbia zake tu.
Dada zangu mjikubali mlivyo mana hivyo ndo Mungu alivyowaumba.
.....usitutie katika kishawishi....Hao wanawake wameshikiwa akili? Unajua kuna vitu vingine ni ujinga kumlaumu binadamu mwenzako.
sio siri mi hua najisikia kichefu chefu kupita maelezoWanawake wengi hawajikubali walivyo..Sasa mtu unaanzaje kununua kope uziegeshe kwenye macho. Kwani kope zako zimetoka?? Wanaume wanapenda mwanamke natural sasa akikutana na huyo wa kujichubua na kujipiga kope bandia atambandua na kukimbia zake tu.
Dada zangu mjikubali mlivyo mana hivyo ndo Mungu alivyowaumba.