kila lakheri mkuu oa mbulu atakufaaNimetokea kuwapenda sana hawa wanawake... Nilikutana nao wakati nakaa moshi town.. Ni wakarimu Sana pia ni hard workers Sana
Bado sijaoa ila lazima mke wangu atokee jamii hiyo
Bila kusahau wale warembo wa Iraq... Daaah
Kweliii mkuuuWa iraq ndugu huwajui .wanamaamuzi makali na ya haraka .hawapendi kuendeshwa wala kunyenyekea .oa lkn usimkaripie kumpiga au kumnyanyasa anaweza kukuchoma kisu au ndoa ikaisha.lkn ukiaminika na akakupenda kweli bila kumzingua wanamsimamo hatari.
Ila wakisema sitaki basi ni sitaki
Kama unataka kufupisha maisha yako basi sawakwann mkuu????
AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO. MBONA TUMEWAOA NA MAISHA NI HAPPY . Labda kama men hapendi ideas zake kuwa challenged kaoe kokote ambako mke anajua tu kazi mbili ; kupika na kumpa baba service baaaasimama alinambia nsioe demu wa kichaga
Nyie mwaelewana wenyewe kwa wenyewe wachagaAKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO. MBONA TUMEWAOA NA MAISHA NI HAPPY . Labda kama men hapendi ideas zake kuwa challenged kaoe kokote ambako mke anajua tu kazi mbili ; kupika na kumpa baba service baaaasi