Usinifokee
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,503
- 3,514
Mkuu Joseverest, mbaya zaidi ukute kidume una kamwili kama peni ya spido ...
kwenye mambo yetu lazima akuuwe
kwenye mambo yetu lazima akuuwe
Yaani ni shida mkuu ndio maana napambana na hawa "vimodo" English figure tuMkuu Joseverest, mbaya zaidi ukute kidume una kamwili kama peni ya spido ...
kwenye mambo yetu lazima akuuwe
Hii imenifanya nicheke kwa sautiPesa inavozidi ndo nguvu za kiume zinavopungua and viceversa,uchukue zigo utaliridhisha vipi?.
Kweli kbsHii imenifanya nicheke kwa sauti
Masambwanda siwapendi MKUU hawana ladha kabisaa!Hawa wa misambwanda ya haja huwa ni majanga aisee yahitaji moyo kuishi nao mkuu
Huyo mtu kaweka hiyo picha kuna siku niliona.of coz siyo picha yangu ni msanii wa nigeri.Nimeitoa asijeuliza mtu mwingine hilo swali.Unaona alivyogundua wapi kachemsha amefanya mabadiliko haraka
Pesa inavozidi ndo nguvu za kiume zinavopungua and viceversa,uchukue zigo utaliridhisha vipi?.
eti zigo uuuwiiiii....Mh!Ndani portable, mchepuko msambwanda.