To me hayo yalikuwa maandalizi ya kumbaka!
Uyu dada afungue kesi tuu na ushaidi anao!
View attachment 41149
Nimajuzi tu serikali ya Uingereza imesema wanawaweza kutunjima misaada kwa kuto heshimu haki za mashoga, kwa misingi ya haki za binadamu, lakini leo polisi wamedhiilisha ni kiasi gani hakuna haki za binadamu hapa nchi, polisi 9 wa kiume zidi ya mwanamke mmoja (udsm) mbaya zaidi huyo dada kashikwa shika kama mtu na mpenzi wake.
Hivi hatuna polisi wa kike kwenye matukio ya Ghasia? au nchi hii ukienda kinyume na matakwa ya watawala haki zako za binadamu zinapotea?
kabla ya haki za mashoga tuanze na ili watu wote hasa kina mama tuungane kupiga vita huu ujinga.
MODS: Hii imefata nini ili jukwaa? niliwahi kuanzisha post ya Abbas mkafanya hivi, member mwinyine alipoirudhisha mkaihacha, Hapo juu mimi nazungumzia haki za wanawake na sio picha tuwe makini pelekeni mlikoitoa, Hii nchi sijui vipi? nipigeni BAN is ok kuliko kupoteza post zangu, i will stand for this, jamii lazima ibadilike alichofanyiwa huyo dada sio kitu kidogo, haya ndio mambo yamefikisha hapa jamii yetu, kukurupuka
THIS IS NOT JUST A PICTURE ipeni heshima hoja
Hao Polisi wanajulikana maana picha zinaonyesha ni akin nani ila kwa sababu wametumwa kufanya hiyo kazi sidhani Kama watachukuliwa hatua yeyote huu unyanyasaji ndiyo ambao unalalamikiwa sana siku hizi.
Hii post nilishangaa sana jana usiku ilipelekwa kwenye jamii photo ilionekana Kama haina umhimu.
Hii ni nchi ya maajabu......yaani polisi wote hao wanakomaa na mwanafunzi mmoja wa kike asiyekuwa na silaha yeyote wakati wale twiga wetu walikuwa wanapandishwa kiulaiiiini ndani ya dege la Qatar lakini hakukuwa na mwanausalama wa taifa hata mmoja.
Hao mbwa(polisi) ipo siku yao!
Hii ni nchi ya maajabu......yaani polisi wote hao wanakomaa na mwanafunzi mmoja wa kike asiyekuwa na silaha yeyote wakati wale twiga wetu walikuwa wanapandishwa kiulaiiiini ndani ya dege la Qatar lakini hakukuwa na mwanausalama wa taifa hata mmoja.
Hao mbwa(polisi) ipo siku yao!
Polisi wanamiza shida zao za kimwili kazini serikali imetutekeza sasa inatumia dola kututisha Na kutudhilisha viongozi wetu ukiwapa challenge tu unakutana Na polisi hata Kama una hoja ya msingi watasema wee ni siasa zinakusimbua . Wanataka wananchi wawapende Na kuwapa ushirikiano bila wao ku deliver . Ili la Huyu dada wabunge wanawake ni challenge kwenu tunataka kuona mnaishikia serikali bango Na hao polisi wafukuzwe kazi
Hawa watu wanaojiita manjagu wanapokuja kutukliza ghasia kwenye vyuo wanakuja kwa malengo mengi ndiyo maana wapo shapu wanapoambiwa kuja .Kwanza kupora simu,kuokota pochi zinazoanguka na lingine kama hili tunaloliona kwenye picha kwani utafiti unaonyesha jeshi la police wanaongoza kwa umalaya ndiyo maana ndoa zao wengi zina migogoro we ona hapo mibaba mizima na ndevu zao sehemu zote imemeacha kazi iliyowapeleka yote inamfuata dada mmoja lengo lao nini na ingekuwa giza hapo tunajuwa wangemfanya hata kitu kibaya lo shemu on you Mkuu wa police ebu angalia jeshi lako lilivyooza limekaa kifuska fuska tu hamana lolote eti tunaenda kutuliza fujo shame on you hamana hata aibu wengine mnajidhalilisha kwa wake na madadazenu ,mama zenu nja mwifi zenu.I said again shame on you.
Hatuna polisi!Tuna wavuta bangi tu vituoni.
Hivi hakuna sheria zinazowalinda watu (esp. wanawake) dhidi ya udhalilishaji kama huu wa polisi? Mtu anapaswa kuwa treated kama siyo mhalifu mpaka pale anapohukumiwa kuwa ana hatia ndo anapaswa kuwa treated kama mhalifu. Hatuna sheria zinazoweza kutumiwa na watu kama hawa dhidi ya udhalilishaji wa polisi? Polisi kama huyu anapaswa kufunguliwa mashitaka ya udhalilishaji kwa kumshika kiuni/makalio huyo binti bila ridhaa yake.
Na hizo nguo za bure zinazowapa umasikini bila kujuwa maana wengine from morning to evening wamevaa hizo wanachukuwa pikipiki wanaenda kutafuta sh 500 za kula watoto hayo siyo maisha aisee tafuteni dili zingine maana navyowaona maisha yenu lazima yawe magumu tu.Wakati nasoma mwalimu wangu wa psychologia aliniambia police in Iron boy anafanya kazi kwa kutumia nguvu nyingi akili kidogo na mara nyingi wanaingia watu ambao wavivu wa kufikiri sasa naamini nyinyi mnafanana na robot kabisa no thinking at all
sasa nimeanza kuelewa kwanini Ghadafi aliingizwa kijiti.
Pata picha huyo ni dadako, utaacha kujifunga mabomu kweli?
Uliata Thread ngapi kuhusu Fatuma? kulikuwa na tread ngapi humu za Fatuma? au lazima mimi ili niwe na uwezo kutoa hii mada? nilidhani hakifanya mwingine sitakiwi kurudiaMuanzisha thread ni mnafiki sana ulikuwa wapi kutoa kauli kama hii wakati wahuni wa Chadema walivyomdhalilisha DC Fatma Kimario wa Igunga?