UsitusingizieWalivyo na Roho mbaya, ukipata hela hawataki hata usaidie nduguzo
UsitusingizieWalivyo na Roho mbaya, ukipata hela hawataki hata usaidie nduguzo
Sema tuu tujue tunakusaidia vipi .Mi sijui
Aweeeeeh 🤣🤣kimasihara inanukia siji mkuuNjoo geto unipe msaada..😁
Nitakuja naulinzi nipe locationNjoo tu hakuna ajabu lolote
Hata kukuroga wewe upate pesa haiwezekani, utarogwa ili umpe hiyo pesa uliyo nayo😆Hamuwezi
😂😂😂😂😂Hauna shida wewe subiri nikurogeLatitude 321513 longtude 401240 nyuzi degree 24.
Njoo mrembo..😁
Wapo wenzio wanarogwa, mi napewa hicho kidogo alichonacho hajawahi kuninyima,nakula hela yake ikifika tar 1 mshahara kwishnei tunasota na shida zetu kusubiria mshahara mwingine...ukitoka ni mitungi, blanti, mikasiiii...tar moja hamna kitu. Life goes on and onSi mnasemaga pesa ya mume tamu roga sasa
Utatuma na yakutolea utajionea uje utoe mrejesho wa kirogo changu.How many times do you have to kuniroga me..?
Wife mufilisi..🤣Wapo wenzio wanarogwa, mi napewa hicho kidogo alichonacho hajawahi kuninyima,nakula hela yake ikifika tar 1 mshahara kwishnei tunasota na shida zetu kusubiria mshahara mwingine...ukitoka ni mitungi, blanti, mikasiiii...tar moja hamna kitu. Life goes on and on
Nisipotumie watatumia wengine, tufilisike woteWife mufilisi..🤣