Mwanamke hata kama ana hela anapenda kuhudumiwaMwanamke akiwa maskini hawezi kusema yeye maskini ila atasema kwa sababu ana bwana maskini au anadate mwanaume broke.
Mngekuwa financially well off msingekuwa kila siku kutaka kuhudumiwa na wanaume financially.
So usipo mhudumia huyo mwanamke automatically unakuwa broke?Mwanamke hata kama ana hela anapenda kuhudumiwa
Neno kuhudumiwa linawauma sana wanawake aisee.Kwa hiyo unataka kuwa na mwanamke na usimhudumie.
Au anakuwa anajitolea
Mahusiano ni watu wawili, huyo mwanamke yeye anatoa nini ili mwanaume asionekana kama anajitolea?Kwa hiyo unataka kuwa na mwanamke na usimhudumie.
Au anakuwa anajitolea
1. Ananuka makwapaSwali langu kwako Dr. Mariposa
Mtu broke ana sifa gani? Nini kinafanya mpaka aitwe broke?
Nina dada wengi nakiri,Kuwa na wadada wengi
Na hutoi huduma nzuri
Nani atakupa vitu vizuri
😜
Tusichoke kuwasimanga hadi wajitambue😂😂Wana makasiriko vibaya mno 😅😅😅.
Nimecheka sana😂1. Ananuka makwapa
2. Hajui kumpendezesha mwanamke wake
3. Ana makasiriko muda wote
Furahi babe, life is too short 🥂Nimecheka sana😂
nasubiri jibuImekaa njema ,na nyinyi mna-offer nini kwa wanaofanya hivyo in return?
Absolutely Dr 🍻Furahi babe, life is too short 🥂
Ukiniomba nitakupa, mimi sio mchoyoNenda kwenye Siasa Bro.
Niko Jukwaani sio kwako.
Usinipangie
Napenda pesa ndio kwani nimekuomba wewe 😏