Thread Starter
JF-Expert Member
- Mar 16, 2017
- 1,372
- 1,031
ukila hlo tunda kujibana inakuw ngum mpka unahis kuumwaMarahabaaa mbona unacheka sana.
ukila hlo tunda kujibana inakuw ngum mpka unahis kuumwaMarahabaaa mbona unacheka sana.
Changamoto mojawapo ni ipi..?Duuh! Ni kweli ulichosema brother ila kwa sisi KE ni ngumu sana sana tena sana, zamani mabibi walikua wanaolewa wengine hata hawajabalehe mtu atabalehe kwa mumewe, ila sasa hivi changamoto ni nyingi sana sana.
Dah nmekusoma vilivyo.!Mmm ushauri wako ni mzuri lakini mapenzi kitu kingine bana asikwambie mtuuu yana nguvu kuliko kifooo, alishidwa kuvumilia Adam na Eva, tutakuwa mimi na wewe!! ? Ila kupanga nikuamua wapo walioweza kujitunza hadi ndoa na wengine bado wanajitunza....
Ila bhanaa mimi nishakula lile tundaa kuibania tena najitahidi ila sometimes unahisi km unaumwa degedege ukikosa hiyo kitu mazeee
hata mm piahatari sana natamani jinsia ya tatu