Unakuta mwanamke ameolewa na anapewa mahitaji yote na muwe wake lakini hatulii kwenye ndoa yake, anaanza kurukaruka na wanaume tofautitofauti ambao hawamsaidii chochote zaidi ya kumpotezea tu muda na kumuharibia ndoa yake.
Kuna mwanamke nilijuana nae kwenye moja ya mitandao ya kijamii yapata kama wiki mbili tena yeye ndie ambae amekua akinisumbua inbox kutaka chatting za mara kwa mara.Nimemueleza kwamba nina mke lakini chakushangaza bado anaendelea kusumbua na sms zake nakulazimisha urafiki ambao binafsi siuhitaji sababu naheshimu ndoa yake na sitaki anisababishie matatizo.
Ushauri wangu kwa wanawake, msikimbilie kuolewa wakati nafsi zenu hazipo tayari kufanya hivyo.Hakikisha unaolewa na mtu ambae umemridhia ili kesho na keshokutwa utulie na ndoa yako na uache mambo ya kuhangaika na wanaume wengine ambao hakuna chochote cha maana watakachokusaidia zaidi ya kukutumia tu na kukutupa.
Huu ni ushauri wa bure.
Kuna mwanamke nilijuana nae kwenye moja ya mitandao ya kijamii yapata kama wiki mbili tena yeye ndie ambae amekua akinisumbua inbox kutaka chatting za mara kwa mara.Nimemueleza kwamba nina mke lakini chakushangaza bado anaendelea kusumbua na sms zake nakulazimisha urafiki ambao binafsi siuhitaji sababu naheshimu ndoa yake na sitaki anisababishie matatizo.
Ushauri wangu kwa wanawake, msikimbilie kuolewa wakati nafsi zenu hazipo tayari kufanya hivyo.Hakikisha unaolewa na mtu ambae umemridhia ili kesho na keshokutwa utulie na ndoa yako na uache mambo ya kuhangaika na wanaume wengine ambao hakuna chochote cha maana watakachokusaidia zaidi ya kukutumia tu na kukutupa.
Huu ni ushauri wa bure.