Hivi seriously unauliza mtu anajisikiaje?Mumeo anajua? Anajisikiaje kama anajua kuwa mkewe sio faithful kwa mume na watoto?
Hahaaaa watu humu wanajifanya wasaaaafi wakati tunajaa nao pm na lodge kila kukicha
Wao wake zao hawaumii eeeh
Haya mwenye macho ya rohoniMmmh
Wala sio hivyo my dear.
Niashaona wewe una mentality ya kushindana na wanaume!Utapotea dada!
Wanaume ni cheaters in nature,na hawakatai,walao ajitahidi acheat responsibly!
Wewe una nature ya kulipa kila akifanyacho mwanaume.It is okay,you are correct.Tatizo ni long term outcomes kwako na watoto wako,thats the problem.
Kumbuka kuna dubwana very judgemental linaitwa JAMII,hili ndio the number killer!Can you handle them?Goodluck!
Teh teh, huyo Mr akapimwe mkojo. Atakuwa ameshikwa mathikio na puaNilishashikwa wala siyo mara moja
So i dont give a shit,
Mie nikimuelewa mtu hata simuachi.
I live once na usitake maisha yako yafanane na kila mtu.
Na hata Mr anaijua Id yangu na ana access ya kusoma hapa.




Kaandike kitabu naona una mineno miiingi
Itakulipa kuliko kuniandikia mie
Hongera tena kwa kubarikiwa macho ya rohoni.Hapana ndugu yangu!
Mbona sijakuandikia vibaya?
Nishakuona wewe mshari.Wala sijaandika kwa nia mbaya or anything to hurt u whatsoever!Ni discussion tu.
Wala usifikirie huko unakoenda!
Hahaha hornet nimekushtukia , ww unacheza na akili za watu tu hapa. Uwachokonoe, to be honestly kuna uwezekano hayo uliyoandika hapa hata hufanyi.Hahahaa ila nimegundua wanaume mkiona mwanamke anacheat mna hasira kinoma.
Good day



Hahahaa nafanya bwana,Hahaha hornet nimekushtukia , ww unacheza na akili za watu tu hapa. Uwachokonoe, to be honestly kuna uwezekano hayo uliyoandika hapa hata hufanyi.
Mind games tu![]()
No, so long sio my wife wangu siwezi kuwa na hasira. Ila kweli mwanaume ukijua mkeo hawezi kusema "hapana", you just ask yourself, was this this the right choice! Hakuna mwanaume anapenda kuona mkewe kit**bwa, hata wanawake hawafurahi kuona waume zao hawafungi zipu.Hahahaa ila nimegundua wanaume mkiona mwanamke anacheat mna hasira kinoma.
Good day
hamn necha wala nin wanajiendekeza tu wanataka kuchepuka wakufanye ni mazoea kabisashhhhhh necha mama necha, si unajua hiyo ni necha yetu wanaume ila sio nyie wanawake.
Mi simooooo
Weee kaka kwani lazima niishi kwa principle zako?
Naona umenishupalia as if mie mkeo.

Nakuomba PMKwa hiyo kama mtu hapati mahitaji yote
Kurukaruka ruksa.
Mie kuflirt siachi ng'oo
Yaah sure kila mtu atapima level ya uvumilivu wake.No, so long sio my wife wangu siwezi kuwa na hasira. Ila kweli mwanaume ukijua mkeo hawezi kusema "hapana", you just ask yourself, was this this the right choice! Hakuna mwanaume anapenda kuona mkewe kit**bwa, hata wanawake hawafurahi kuona waume zao hawafungi zipu.
Ila to each his own.