DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,503
- 29,912
Ukivaa suti huko gomz unaonekana tycoon mmoja hatari
Kesho tuonane nikiwa na suti yangu. Nione kama utachomoasuti zimepigwa chenga na gari kama huamini simama barabaran na suti yako halafu ita huyo dada ile anakuja kaka aliyevaa tshirt yuko kwenye gari nae amwite utaona anaelekea wapi
Kesho tuonane nikiwa na suti yangu. Nione kama utachomoa
Nakutumia pic asap pm uone navowaka mummy
Agiza Mirinda nyeuth nakuja kulpa Mamaa![emoji594]suti zimepigwa chenga na gari kama huamini simama barabaran na suti yako halafu ita huyo dada ile anakuja kaka aliyevaa tshirt yuko kwenye gari nae amwite utaona anaelekea wapi
Boy pleaaaaaaaaaase 😏😏😏Masela mpo? Vaa suti yako piga pasi inyooke fresh simamisha demu yoyote uone kama ataruka haruki, cm yangu imejaa no za watoto wa ifm wengine nshawasahau sasa najiuliza kwamba suti zinawaogopesha wadada au ukivaa suti unaonekana unahela?? Wanawake embu toeni sifa za sisi wanaume tunaovaa suti
Uzi tayari