Wanawake Sometimes

Wanawake Sometimes

Wanawake mmzidi kila SAA tafadhali niongeee,naomba elfu 20 baby,chupi ximeisha baby,mwanamke gani huwez kujinunulia hata chupi kwenda zako na njaa zako,demu mwenye vinjanja pita mbali na mm.unataka hela nenda nmb,crdb,nk.mnaboa sana mamaee xenu.
 
Wanajamii

Naombeni kuuliza, hivi mnapokuwa katika mapenzi kati ya mwanamke na mwanaume lengo linakuwa ni nini hasa? Na kama lengo ni kushare katika mapenzi (kugegedana) na kila mmoja huwa anafaidi mautamukutokana na tendo hilo (kutoana stress)

Sasa linakuja swali moja hapa kwa nini wanawake wanageuza mapenzi kuwa pesa, utakuta anamuomba mpenzi wako pesa kana kwamba kutokana na lile tendo unadai malipo, basi ieleweke tu kwamba mnapokuwa katika uhusiano, mwanamke umweleze mpenzi wako kwamba sawa tunakuwa katika mahusiano ila papuchi nitakuwa nakuuzia, kwa sababu imegeuka kuwa kero, musitufanye ATM, munakera! kwana raha ya tendo tunaona sisi wenyewe?

IKITAKA UEPUKANE NA KERO ZA MAPENZI OA KAKA,,,,POLE MI HATA ALIYEKUWA BABE WANGU ALIKUWA ANANIPA TAKRIMA NA MIM NIKIENDA KWAKE NAMPELEKEA ZAWADI KAMA SHATI AU TISHETI N.K..
 
Hilo ndo swali la mleta mada! Umeolewa/umeoa au hukuolewa/hujaoa, kubadili penzi (mahaba) kuwa ATM ni kuidhihaki nafsi ya ubinadamu na kujishusha utu
Wambie ukweli mkuu, kuna wengine wameingia humu jukwaani, ni wakali balaa wanaona ni haki yao kudai pesa kwa penzi ambalo wote tunafaidi!
 
IKITAKA UEPUKANE NA KERO ZA MAPENZI OA KAKA,,,,POLE MI HATA ALIYEKUWA BABE WANGU ALIKUWA ANANIPA TAKRIMA NA MIM NIKIENDA KWAKE NAMPELEKEA ZAWADI KAMA SHATI AU TISHETI N.K..

IKITAKA UEPUKANE NA KERO ZA MAPENZI OA KAKA,,,,POLE MI HATA ALIYEKUWA BABE WANGU ALIKUWA ANANIPA TAKRIMA NA MIM NIKIENDA KWAKE NAMPELEKEA ZAWADI KAMA SHATI AU TISHETI N.K..
Hayo ndio mapenzi ya kweli mkuu, sio mapenzi kama ya akina fulani ambao wameingia humu jukwaani ni wakali balaa
 
Wanawake mmzidi kila SAA tafadhali niongeee,naomba elfu 20 baby,chupi ximeisha baby,mwanamke gani huwez kujinunulia hata chupi kwenda zako na njaa zako,demu mwenye vinjanja pita mbali na mm.unataka hela nenda nmb,crdb,nk.mnaboa sana mamaee xenu.
Ha ha ha ha ha!
 
Mpaka unipende manake nina matunzo asa kwa nini nikupe halafu usinitunze?
 
Papuchi ni resource kama resource nyingine tu.

Ukiitumia lazima ulipie, na mwenye nayo lazima afaidike pindi inapotumiwa.
 
Back
Top Bottom