mikatabafeki JF-Expert Member Dec 29, 2010 12,772 4,642 Dec 1, 2011 #21 yaaani nilivoikimbilia hii siredi ka speed ya light afu nakutana na hivi
N Nzowa Godat JF-Expert Member Jun 15, 2011 2,783 819 Dec 1, 2011 #22 Any way! wanawake na wanaume wote ni wana-Adamu au bin-Adamu, na mbinguni hakuna wa kike au wa kiume wote wanakuwa kama malaika walivyo.
Any way! wanawake na wanaume wote ni wana-Adamu au bin-Adamu, na mbinguni hakuna wa kike au wa kiume wote wanakuwa kama malaika walivyo.
zumbemkuu JF-Expert Member Sep 11, 2010 10,832 8,623 Dec 1, 2011 #23 hata sensa iliyokuwa inafanyika zamani haikuhusisha wanawake na watoto, ilikuwa ni wanaume tu, ndo maana leo hii tuna siku ya wanawake duniani.
hata sensa iliyokuwa inafanyika zamani haikuhusisha wanawake na watoto, ilikuwa ni wanaume tu, ndo maana leo hii tuna siku ya wanawake duniani.
zumbemkuu JF-Expert Member Sep 11, 2010 10,832 8,623 Dec 1, 2011 #24 japo wanaoaminika sana kwa uhodari vitani ni wanaume lakini wanawake ni majushaa zaidi katika vita, usiniulize kivipi.
japo wanaoaminika sana kwa uhodari vitani ni wanaume lakini wanawake ni majushaa zaidi katika vita, usiniulize kivipi.
Yo Yo JF-Expert Member May 31, 2008 11,217 1,706 Dec 1, 2011 Thread starter #25 Nzowa Godat said: Any way! wanawake na wanaume wote ni wana-Adamu au bin-Adamu, na mbinguni hakuna wa kike au wa kiume wote wanakuwa kama malaika walivyo. Click to expand... Hivi Malaika ni wa jinsia gani? kwa majina tu Gabriel,Mikael....na yule muasi Yusufeli.....
Nzowa Godat said: Any way! wanawake na wanaume wote ni wana-Adamu au bin-Adamu, na mbinguni hakuna wa kike au wa kiume wote wanakuwa kama malaika walivyo. Click to expand... Hivi Malaika ni wa jinsia gani? kwa majina tu Gabriel,Mikael....na yule muasi Yusufeli.....
Mamndenyi JF-Expert Member Apr 11, 2011 40,607 52,334 Dec 1, 2011 #26 Dena Amsi said: Kaacha kuvuta Bangi Kaokoka siku hizi Click to expand... Sijui kama kweli kaokoka, ngoja tuone anavyokuja.
Dena Amsi said: Kaacha kuvuta Bangi Kaokoka siku hizi Click to expand... Sijui kama kweli kaokoka, ngoja tuone anavyokuja.
FirstLady1 JF-Expert Member Jul 29, 2009 16,792 5,375 Dec 1, 2011 #27 Dah Yo Yo nilikuwa naandaa mashambulizi...
TANMO JF-Expert Member Apr 12, 2008 11,515 11,277 Dec 1, 2011 #28 maliyamungu said: Si watu kabisa ndio mana wana siku moja duniani,siku ya wanawake duniani kati ya siku 365 za mwaka zingine zote 364 zakwetu. Kwe kwe kwe!! Click to expand... duh! Loolz...
maliyamungu said: Si watu kabisa ndio mana wana siku moja duniani,siku ya wanawake duniani kati ya siku 365 za mwaka zingine zote 364 zakwetu. Kwe kwe kwe!! Click to expand... duh! Loolz...
Blaki Womani JF-Expert Member Feb 28, 2011 11,229 13,431 Dec 1, 2011 #30 Yo Yo said: Hivi Malaika ni wa jinsia gani? kwa majina tu Gabriel,Mikael....na yule muasi Yusufeli..... Click to expand... kuna MaSr. nawafaham mmoja anaitwa Gabriel na mwingine Sr. Timoth inakuwaje kuhusiana na majina yao na hao malaika
Yo Yo said: Hivi Malaika ni wa jinsia gani? kwa majina tu Gabriel,Mikael....na yule muasi Yusufeli..... Click to expand... kuna MaSr. nawafaham mmoja anaitwa Gabriel na mwingine Sr. Timoth inakuwaje kuhusiana na majina yao na hao malaika
Washawasha JF-Expert Member Aug 7, 2006 16,652 13,077 Dec 1, 2011 #31 umewabip wana wa Beijing. Nalog off
Cantalisia JF-Expert Member Sep 26, 2011 5,222 2,929 Dec 1, 2011 #32 Dah!!,Wewe YO YO!!! Yani spidi nimeingia kwa spidi nikiwa nimevimba kwa ajili ya kukujibu, Lkn lol nimesoma humu na nguvu zimeniisha, Nakutakia siku njema.
Dah!!,Wewe YO YO!!! Yani spidi nimeingia kwa spidi nikiwa nimevimba kwa ajili ya kukujibu, Lkn lol nimesoma humu na nguvu zimeniisha, Nakutakia siku njema.
MADAXWEYNE JF-Expert Member Sep 9, 2011 1,543 3,341 Dec 1, 2011 #33 maliyamungu said: Si watu kabisa ndio mana wana siku moja duniani,siku ya wanawake duniani kati ya siku 365 za mwaka zingine zote 364 zakwetu. Kwe kwe kwe!! Click to expand... na mama yako si mtu?
maliyamungu said: Si watu kabisa ndio mana wana siku moja duniani,siku ya wanawake duniani kati ya siku 365 za mwaka zingine zote 364 zakwetu. Kwe kwe kwe!! Click to expand... na mama yako si mtu?