Aiseeee jamani,kuna.mambo ujue humsem msichana yule au wa JF,unamsema mama yako au dada yako
Tjwape heshima hawa watu wa JINSI ya KE,nimegundua kwenye mitandao ya kijamii wanawake wanazongwa sana negatively,japo nao wanafanya waonekane negatively kwa picha zao wanazopost hasa Insta na FB,though twita nako wameanza kuingia
Ngoja tuwasikie ila kwa ninavyojua mimi ishu sio tu kutoa bikra ila mwanamke yoyote uliyempa vitu vitamu na ukamuacha kwa Amani, siku yoyote mkikutana huongei unashika tu mkono unaenda kupiga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.