Wanawake semeni wenyeeee utamsahau?

Wanawake semeni wenyeeee utamsahau?

samakinchanga

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2014
Posts
2,024
Reaction score
1,237
Ni yule aliekutoa usichana na kukurukakara zilivyokuwa siku hiyo hebu semeni
 
Namkumbuka ili nigundue nini?
Na ninavyo kunwa vizur hivi, ni sawa na kumkumbuka nesi aliyezalisha,

Ni historia tu
 
Aiseeee jamani,kuna.mambo ujue humsem msichana yule au wa JF,unamsema mama yako au dada yako
Tjwape heshima hawa watu wa JINSI ya KE,nimegundua kwenye mitandao ya kijamii wanawake wanazongwa sana negatively,japo nao wanafanya waonekane negatively kwa picha zao wanazopost hasa Insta na FB,though twita nako wameanza kuingia
 
Ngoja tuwasikie ila kwa ninavyojua mimi ishu sio tu kutoa bikra ila mwanamke yoyote uliyempa vitu vitamu na ukamuacha kwa Amani, siku yoyote mkikutana huongei unashika tu mkono unaenda kupiga
 
Back
Top Bottom