Wanawake punguzeni wivu wa kijinga

Wanawake punguzeni wivu wa kijinga

Thread ya kipuuzi..!una mke then unaeleza upuuzi..utoto wamezidi humu Jf.bored thread.
 
Sawa mkuu asante kwa kutujulisha kuwa:
1. Mkewako mmbaya
2. Una usafiri
3. Uko addicted na mtandao pendwa- 0713
Ila umesahau kutuambia hiyo chai kama ni ya maziwa au strungi.
Duh......mkuu umewaza mbali
 
Thread ya kipuuzi..!una mke then unaeleza upuuzi..utoto wamezidi humu Jf.bored thread.
Una demu au ulishawahi kua na dem ?? Yaweza ikawa una nyota ya bundi...hahaha
 
Sawa mkuu asante kwa kutujulisha kuwa:
1. Mkewako mmbaya
2. Una usafiri
3. Uko addicted na mtandao pendwa- 0713
Ila umesahau kutuambia hiyo chai kama ni ya maziwa au strungi.
Umenikumbusha "chai ya sturungi".
 
Kuna kitu wadau humu tunashindwa elewana....mimi siku kodolea ile in deep ilikua ni kidogo tu ile kawaida....thing is ile kuchangamkiana, kucheka na ku ahidiana a next meet up plus hyo kupiga chabo baas.....ndio huyu mama kawa mbogo huku.

Ki ukweli napata faraja kuona huyu mwanamke ana mapenzi ya dhati na mimi. I will definitely surprise her wit something that will make her extremely happy.
Bora unajielewa
 
Mimi ndio maana napenda sun glasses zile nyeusi au silver ukiniangalia unajiona wewe....naangalia kushoto macho yako kulia.......🙂🙂🙂🙂🙂
 
wanawake wanaongozakwa kutokujiamini
 
Mwanamke akipunguza wivu pia utakuja hapa kulalamika kwamba lembebez wangu hata anione naongea na simu 10 usiku haniulizi, ITAKUWA ANA BWANA, Utakuja omba ushauri tena na watu watakwambia umuache. kwahiyo binadam hatuna jema kwa lolote. macho hayana pazia kwa jicho la kwaza ruksa, jicho la pili ni la makusudi halina msamaha.
 
Kwanza napenda kukwambia ni vizur kutumia lugha yako ya taifa na sio kutuchanganyia lugha
 
Hebu geuza kibao mfano ndio ingekua wewe ungejiskiaje mwenzio anapomchangamkia dume mwenzio?
 
Mwanamke akipunguza wivu pia utakuja hapa kulalamika kwamba lembebez wangu hata anione naongea na simu 10 usiku haniulizi, ITAKUWA ANA BWANA, Utakuja omba ushauri tena na watu watakwambia umuache. kwahiyo binadam hatuna jema kwa lolote. macho hayana pazia kwa jicho la kwaza ruksa, jicho la pili ni la makusudi halina msamaha.
Ni kweli aisee....hahaha asmaa niambie...hujambo ?? Its been a while. Lol
 
Back
Top Bottom