Wanawake punguzeni ubabe

Wanawake punguzeni ubabe

KILAKA

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2014
Posts
374
Reaction score
127
Kuna rafiki yangu niliyemaliza nae chuo kikuu cha ardhi mwaka 2010, mimi na yeye wote tulikuwa tunasoma architecture baada ya kuhitimu rafiki yangu(jina lake naliifadhi) alifanikiwa kupata kazi katika kampuni moja hapa D'salaam, na muda haukupita sana kwani mwaka 2011 kwenye mwezi oktoba alifunga ndoa na mwanamke aliyempenda(jina naliifadhi).

Yule mwanamke aliyemuoa alisomaga mambo ya biashara na hata baada ya kuingia kwenye ndoa alikuwa akijishughulisha na mambo ya biashara wakati mume wake akiwa ameajiriwa, mambo ya biashara kwa yule mwanamke yalimuendea vizuri sana na akawa anapata pesa nyingi sana akamshauri na mume wake aache kazi wafanye wote biashara na yule mume kwa kufikiria kipato alichokuwa anakipata mke wake kutoka kwenye biashara akaamua aache kazi na wafanye wote biashara.

Haukupita mda mrefu sana ndoa yao iliyumba sana kiasi cha kwamba mwanamke akamwambia mume wake mimi na wewe basi, kuanzia leo tusijuane. Mwanaume(rafiki yangu hakuamini) akaamua kumpigia simu mama mkwe wake naye alijibu hivi alichosema mtoto wangu ndo hicho hicho na mimi nipo huko huko, kumbe ata nyumba waliyokuwa wakiishi ilikuwa ya mwanamke kwa hiyo jamaa ilibidi aondoke pale na arudishe mpira kwa goli kipa( aende nyumbani kwa wazazi wake).

Amerudi nyumbani kwa wazazi wake akiwa hana kazi na akiwa hajui pakuanzia.Ndoa ikawa imevunjika baada ya kudumu kwa miaka mitatu tu.
 
Kuna rafiki yangu niliyemaliza nae chuo kikuu cha ardhi mwaka 2010, mimi na yeye wote tulikuwa tunasoma architecture baada ya kuhitimu rafiki yangu(jina lake naliifadhi) alifanikiwa kupata kazi katika kampuni moja hapa D'salaam, na muda haukupita sana kwani mwaka 2011 kwenye mwezi oktoba alifunga ndoa na mwanamke aliyempenda(jina naliifadhi).Yule mwanamke aliyemuoa alisomaga mambo ya biashara na hata baada ya kuingia kwenye ndoa alikuwa akijishughulisha na mambo ya biashara wakati mume wake akiwa ameajiriwa, mambo ya biashara kwa yule mwanamke yalimuendea vizuri sana na akawa anapata pesa nyingi sana akamshauri na mume wake aache kazi wafanye wote biashara na yule mume kwa kufikiria kipato alichokuwa anakipata mke wake kutoka kwenye biashara akaamua aache kazi na wafanye wote biashara.Haukupita mda mrefu sana ndoa yao iliyumba sana kiasi cha kwamba mwanamke akamwambia mume wake mimi na wewe basi, kuanzia leo tusijuane. Mwanaume(rafiki yangu hakuamini) akaamua kumpigia simu mama mkwe wake naye alijibu hivi alichosema mtoto wangu ndo hicho hicho na mimi nipo huko huko, kumbe ata nyumba waliyokuwa wakiishi ilikuwa ya mwanamke kwa hiyo jamaa ilibidi aondoke pale na arudishe mpira kwa goli kipa( aende nyumbani kwa wazazi wake).Amerudi nyumbani kwa wazazi wake akiwa hana kazi na akiwa hajui pakuanzia.Ndoa ikawa imevunjika baada ya kudumu kwa miaka mitatu tu.

Ngoja nianze kupiga tziz la kufa mtu nije kumtoa manundu nundu
 
^^
Ni kawaida kwa mtu yeyote ambae hajazoea mafanikio kuwa hivyo!
^^
 
Kuna vitu vingine hata kipofu anaona.
Pole kwa mhusika
 
1. Mwanaume kuongozwa na mwanaumke nyumbani lazima una matatizo (Mwanaume atamtawala Mkewe - Refer Eden)
2. Kwenye jamii yetu hii mwenye pesa ndio ana maamuzi - Hekima ya masikini haisikilizwi -Refer Proverbs.
3. Aliye nacho Huongezewa, na asiye nacho hata kile kidogo alichodhani kuwa anacho... atanyang'anywa.. Ajitahidi KUWANACHO
4. Mwanamke akikuzidi kila kitu, Hio imekula kwako (akuzidi hela, elimu, akili, sijui nini hio imekula) Pride at it peak
5. Mwanaume ndio kichwa cha Nyumba.. Ukiangalia tu kirahisi hatuna taifa lolote masikini duniani lenye sauti ila yenye hela ndio yana sauti... Sasa wewe mkeo ndio kashikilia usukani unategemea sauti uitoe wapi?
6. Mtaji wake, kila kitu chake... Bila aibu unalaghaika unaenda kumkuzia mtaji... ona yatokanayo... hujaongeza hapo hata shs tano unasema biashara yetu... wewe na nani? Unawafahamu akina hawa au unawasikia? With all due respect I have enough back ups..... One or two among 20 ndio wanaweza kuwa na uwezo kifedha juu ya mwanaume bado wakajishusha... otherwise Money corrupts
7. Mwanaume always ni wajanja... huyu alilala.
 
Sasa huo si ubabe ni power of persuation, amemshawishi mumewe ache kazi ili amlee na mwanamume alivyokua mende akakubalu
 
Asa ubabe hapo uko wapi? Me naona ni mwanaume tu alikosea kuamua kuacha kazi, then kumbe hakua na mke Bali ni jambazi....
 
Ndio shida ya wanaume wenye akili za kubebewa.....lazima ubebe virago urudi kwenu
 
wonders never end....

i hate wanaume wenye tabia hii ina maaana hla yake hakuwaza kuwekeza hta kwenye adhi ameoa afu unaishi kwa mkeo na dunia hii ya selfish people....it means yeye ndo aliyeolewa

kwa dunia ya sasa kama mwanaume huna kauli,decision making,busara na hekima u ar finished..
kama mwanaume unatarajia mkeo akulishe na atunze famiilia tambua umeuza uhuru wako.....
kama mwanaume huna pesa ya kulisha familia utajiona mtumwa na unaonewa kwa maana maamuzi atafanya mkeo mwenye pesa na hutoweza kupinga hadi Yesu arudi..

mwambie mwenzio asome ushauri wa Tized kwa makin na ajitume aache blah blah...
yeye ndo kiongzi wa familia ..
 
Last edited by a moderator:
Hii utokea sana kwa wanaume kuwalaghai wanawake Kumbe na wanaume wanalaghaiwa hivyo!! Pole yake ndugu jipange kiakili!!
 
Mmmmmmmmh! Kajitakia! MENS BALLS ARE IN THEIR POCKETS! A man is as powerful as his pockets!
 
Mmmmmmmmh! Kajitakia! MENS BALLS ARE IN THEIR POCKETS! A man is as powerful as his pockets!

Lakini mbona kipindi kile wanaoana walikuwa na mapenzi motomoto!!!!!! na walifanya sherehe moja ya kifahari sana pale karimjee hall.Mimi sikutaraji kama rafiki yangu yangempata haya yaliyomkuta.
 
Dont trust anybody....even yourself....acha kazi na we unaa acha hilo ndilo kosa....dont trust a woman...hata kama ni mamayo...*****:angry:
 
Kuna rafiki yangu niliyemaliza nae chuo kikuu cha ardhi mwaka 2010, mimi na yeye wote tulikuwa tunasoma architecture baada ya kuhitimu rafiki yangu(jina lake naliifadhi) alifanikiwa kupata kazi katika kampuni moja hapa D'salaam, na muda haukupita sana kwani mwaka 2011 kwenye mwezi oktoba alifunga ndoa na mwanamke aliyempenda(jina naliifadhi).

Yule mwanamke aliyemuoa alisomaga mambo ya biashara na hata baada ya kuingia kwenye ndoa alikuwa akijishughulisha na mambo ya biashara wakati mume wake akiwa ameajiriwa, mambo ya biashara kwa yule mwanamke yalimuendea vizuri sana na akawa anapata pesa nyingi sana akamshauri na mume wake aache kazi wafanye wote biashara na yule mume kwa kufikiria kipato alichokuwa anakipata mke wake kutoka kwenye biashara akaamua aache kazi na wafanye wote biashara.

Haukupita mda mrefu sana ndoa yao iliyumba sana kiasi cha kwamba mwanamke akamwambia mume wake mimi na wewe basi, kuanzia leo tusijuane. Mwanaume(rafiki yangu hakuamini) akaamua kumpigia simu mama mkwe wake naye alijibu hivi alichosema mtoto wangu ndo hicho hicho na mimi nipo huko huko, kumbe ata nyumba waliyokuwa wakiishi ilikuwa ya mwanamke kwa hiyo jamaa ilibidi aondoke pale na arudishe mpira kwa goli kipa( aende nyumbani kwa wazazi wake).

Amerudi nyumbani kwa wazazi wake akiwa hana kazi na akiwa hajui pakuanzia.Ndoa ikawa imevunjika baada ya kudumu kwa miaka mitatu tu.

Ebwana eee issue zingine hzi zisikie tu nyumba ya jirani. Mimi nilishaapa mpaka nakufa simuamini mwanamke yeyote duniani hapa isipokua mama yangu mzazi baaaaas !!!! (cz she z been there for me all my life) kuna kipindi almanusra niingizwe kingi na mwanamke flan nlikuwaga nae, Mungu mkubwa nlishtuka mapema.

Ningepoteza hela nyingi sanaa nahisi ningekufa kwa mawazo. Since then all i trust is Jesus. Hawa wanawake wa siku hzi ni pasua kichwa kama we sio mjanja lazma unawekwa kati tu. Nishashuhudia kibaba flan kinafukuzwa kama mbwa na kurushiwa nguo nnje na mkewe hvi hvi kwa mambo kama haya !!!!

Jamaa ilibdi awe ameshamsoma tabia mkewe ki undani sanaaaa way before hajafunga nae ndoa ili ajue anakwenda nae vp (wengi wanaficha makucha najua, ila unahitaj kuwa na intelligence moja makini sanaaa kumjua mwanamke ki undani). 3 years ??? Ndoa bado changa sanaaa hyo. Dah Kweli wanaopenda kuwahi kuoa wacha tu watangulie...sie tuko nyuma tunakuja. Itafika kipindi watu tunazaa tu ila hatuoi cz badala ya kupata amani na faraja ni kero tu daily manina zao.
Bwana we mwanamke siku zote akisha shika hela nyingi akakuzidi huwa hakamatiki, hakunjiki !!! Take it or leave it.
 
niache kazi....!!!!????
hapo lazima tutengeneze muvi...
 
Back
Top Bottom