Siempre Hechos
JF-Expert Member
- Dec 9, 2016
- 1,228
- 1,530
Hahahaha! We kiboko.Chupi zinabana. Mi navaa chupi siku nne tu ndani ya mwezi
kuna wale wengne wanavaa madera then wanachomea dera kwnye pichu ya ndan.. ni shdaa lazma ugeuke 2.
Dah! Ila hizi habari za kufahamiana zinakuwaga overrated tu mara nyingine. Ma-dame wangu wawili wa mwanzo, sikuwahi kuwa hata na wazo la kufahamiana nao hata sekunde moja mzee. Sikuwahi hata kuwagusa in a typa way. Ila nili-enjoy sana kuwa nao. Na kama sio mazingira, ningekuwa na mmoja wao leo hii.
aisee usangi wazima huko? baridi ikoje? nisalimie familia ya juni mziray wambie sisi ni wazima na bibi anaendelea vizuri,vp wale watoto wa lomwe secondary bado wazuri? nakumbuka zamani tukija bush tulikua tunajisevia hadi noma, some time tunavichukua navipeleka shamba kule kama unaelekea jipe!nimemiss usangi december lazima nije.
Lomwe sec sio?
daahh inaleta utamu cna na hamu ya tendo asee
ktk vitu nsivyokumbuka kuvaa pichu n ya kwanza...
wewe ni nani papuchi za wenzako uzipangie masharti?
Mimi Ni Kama Mdau Wa Ushauri.Watembee Hata Uchi Kabisa Nchi Yetu Ni Huru
"Do not compete with any one, do the best to become the best"
