Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
hivi mnajuaje hawajavaa?
Usifanye mchezo na macho ya mwanaume.
hivi mnajuaje hawajavaa?
Ili yatikisike
Usifanye mchezo na macho ya mwanaume.
Kuna watu wana vituko!!!! Yaani unatokaje bila ya Nguo ya ndani
Nadhani sababu ni joto
Tena Kwa Mijini Kama Dar Ni Kawaida Sana.
kuna picha moja inazungukaga kwenye whasapu inamuonesha dada mmoja alikuwa anadaka ua lililorushwa na bi harusi kwa bahato mbaya nguo aliyovaa ilikuwa fupi halafu ndani hajavaa kufuli. Papuchi ilikuwa yote out inabarizi.
Nadhani wadau wanayo hapa.
Aibu sana.
Kuna picha ingine nimeiona leo asubuhi ni aibu tupu
hivi mnajuaje hawajavaa?
Hiyo ilikuwa high school, 16/17 nilikuwa msafi kinoma. Back then, nilikuwa narubuniwa ila nakwepa. Nakumbuka washkaji walikuwa wananiambia nitakuja kujutia nafasi zote nilizokuwa nachezea. Mpaka sasa sijutii.
Siku hizi mind yangu ishakuwa corrupted as hell. Kufahamiana ni mandatory. Najaribu kurudia kuwa hata nusu ya that 17 year old me lakini.
Macho hayana pazia
basi msilaumu..maana na wanaume siku hizi mnavaa zile suruali laini laini sehemu za mbele zajichoresha.na hatulalamiki
Kwa hiyo kinacholeta joto ni pichu pekee..?? Na sehemu inayosikia joto ni papuchi pekee..??
yaaah kuna wanawake wengine wakivaa chupi wakatembea hasa wakati wa jua kali wanaishia kuwashwa
One day I will find the right words
hivi mnajuaje hawajavaa?
Mi sijalaumu bali nafurahia tu iyo freezone yenu.....vp nawew ni mmoja wao?
Wakikaa wanakaa kikutuonyesha tu kwamba hawajavaa.............
Tena wengine wanasema wenyewe........
Wengine utawasikia... Yaani tangu niache kuvaa chupi, siwashwi, sipati joto na wala sina usumbufu wowote
mnaishia kuona tuu?