Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,010
- 23,653
Kuna ambao walisema wanaepuka panty lines. Cuz zinawachoresha.
Kuna watu wana vituko!!!! Yaani unatokaje bila ya Nguo ya ndani
Kuna watu wana vituko!!!! Yaani unatokaje bila ya Nguo ya ndani
Kuna ambao walisema wanaepuka panty lines. Cuz zinawachoresha.
![]()
Hahaha. Si unafahamiana na wife tu, mambo yanakuwa sawa.
Ili yatikisikeKuna watu wana vituko!!!! Yaani unatokaje bila ya Nguo ya ndani
Dah! Mi nilijua ukioa kufahamiana ni muda wowote yeyote akijisikia? Halafu kuna jamaa alikuja kulalamika kuwa kamkuta wife wake anapika bila nguo, ndio nikaamini kabisa. Sasa kumbe kuna ratiba tena. Kuna umuhimu wa kujiunga na kanisa ambalo wife haendi basi.
Sio wote aisee ..Kuna wadada hisia zao ziko mbali zaidi..Kuna dada alikuwa ananambia ye hapendi kabisa kufahamiana..Mme wake asipomuomba anaweza kukaa muda mrefu bila kufanya..Nikamwambia labda husband hayuko vizuri..Akaniambia..Nope..Yuko poa na uwa naenjoy..Sema sijawahi kuwa na hamu hata siku moja ya kufanya..Siku zote husband ndo anaomba
Dah! Ila hizi habari za kufahamiana zinakuwaga overrated tu mara nyingine. Ma-dame wangu wawili wa mwanzo, sikuwahi kuwa hata na wazo la kufahamiana nao hata sekunde moja mzee. Sikuwahi hata kuwagusa in a typa way. Ila nili-enjoy sana kuwa nao. Na kama sio mazingira, ningekuwa na mmoja wao leo hii.
Chupi ya kazi gani? Vazi la wanaume hilo halituhusu sisi....
Hahaa..Gud boy..Vipi kwa sasa unaweza??..Mi kupenda kufahamiana ni sifa ambayo msichana inabidi awe hiyo ili niweze kudumu nae lol