Nikilewa mniache
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 19,299
- 51,940
Poa, lakini bado hujasema yoteNamba 9 imekaa vyema.
Mtoa mada yeye anafanya kitu kama research , mwisho wa siku atafanya evaluation apate jibu mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Poa, lakini bado hujasema yoteNamba 9 imekaa vyema.
Mtoa mada yeye anafanya kitu kama research , mwisho wa siku atafanya evaluation apate jibu mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani keyboard unayotumia haihifadhi kila unachoandika?Niliandika kujibu yote ndefu ilikuwa napost siioni.
Aisee kuandika tena ni ishu mkuu wangu.
Kwa tanzania tokea Raisi magufuli aingie madarakani ni ndege ya sita
Asante kwa mchango wako..Unataka kujua mawazo ya wanawake wote ili iweje, wewe kama umepata manzi muulize maswali akujibu kulingana na yeye.
Be crazy, Be Weird, Be whatever coz life is too short to be anything but HAPPY.
1: Tunapenda kufahau suala lake la kiuchumi.
2: Ucheshi, kiasi na busara.
3: Wapole
4:like a queen
5: kuongea kiasi ila kuchat kila wakati.
6: Avae apendeze yaani awe mtanashati.Asivae hovyo hovyo. Mavazi yawe yenye hadhi na itategemea sehemu anapoenda. Na awe msafi.
7: Hamna mwanamke anayependa kusikia
mwanaume wake ana mwanamke mwingine. Inaumiza na kutia kichefuchefu kwa pamoja.
8: tunapenda wanaoonyesha wanatupenda kwa vitendo. Hata kama hawasemi.
9: Hatuchepuki.
10: Hamna jibu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikiamua kuchepuka hata unipe ikulu haunizuii....
Akili yangu naijua mwenyewe.... cha muhimu hakikisha nakuheshimu ila nyegee zikipanda navua tuu hata unipe mbingu......
Don’t bother....
Nikiamua kuchepuka hata unipe ikulu haunizuii....
Akili yangu naijua mwenyewe.... cha muhimu hakikisha nakuheshimu ila nyegee zikipanda navua tuu hata unipe mbingu......
Don’t bother....
Tafuta tu pesa upendo utakuja wenyewe.
No money No honey hii ni kwa huku mijini wavijijini sina uzoefu nao watakuja
Sent using Jamii Forums mobile app
Mapenzi ni kama biashara kuna mda itabidi uwekeze pesa kuna muda inabidi ujue mteja anataka nini ndo mwanamke alivyo
Tatizo mnatuchukuliaga kwamba tupo very complicated wakati sivyo.
Mwanamme asimame kama mwanamme, abebe majukumu ya familia kwa maana ya kutimiza mahitaji ya familia.
Amheshimu na kumjali mke wake kwa hali na mali. Kumpa company na sio ya kumchungulia kyupi tuuu. Na aiangalie familia ya wakwe kama anavyoangalia ya wazazi wake pia. Kushauriqna katika masuala ya kifamilia.
Kuwa mwalimu ama kiongozi wa mke wake pale anapoona amekosea step. Kumfundisha mambo mapya mfano siasa, ama kukaa nae kuangalia mpira kumfundisha rules etc.
Kumpiga turumba. Hili neno turumba mara ya kwanza na mwisho nililisikia kwa baba yangu fundi magari wakati navunja ungo. Hakukaa akaremba maneno yake. Alituambia tu pigweni turumba weee mpaka ifuke moshi. Nilipokuwa ndo nilielewa. So ndugu msomaji, mpige mkeo turumba weeeee ndo miongoni mwa yanayotakiwa katika ndoa.
Woyoooo enhee sasa unavua tu kwa mtu yeyote?au inakuaje mwanamama
Turumba ndaniiiiiiiiiiiii..Usicheze na kitu kinaitwa nyegee nyegee nyegeziii.....
Siokoti yoyote tuu, vigezo na masharti kuzingatiwa.....
Kasie Mahaba Matata.....
Mbuudyaaaa hooyeeeeee....!!!️
️
️
Tunapenda kila kitu na hatupendi kila kitu depends na mood. Ishini nasi kwa akili.