Wanawake ni waroho sana au wanakomoa?

Wanawake ni waroho sana au wanakomoa?

nkyalomkonza

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2012
Posts
1,154
Reaction score
444
Unampigia simu demu wako mida ya saa tisa, anatoka nyumbani mpaka sehemu ulipo. Anaagiza kinywaji na kumuita mhudumu wa jikoni, niletee kuku nusu na chips. Wewe umetoka nyumbani hujala huko? Unajua nina bei gani mfukoni? Kuweni wastaarabu.
 
Duh watanzania tumefikia hatua ya kupigia hesabu ya chakula? Jamani ni kinyesi tu hicho mwisho wa siku.
 
Mmh... Lazima ale ashibe..!! Anajiweka sawa, maana baada ya hapo anajua ni game ya kufa mtu.!
 
Huyo ni demu wako au mlupo???
Kama ni demu wako najua lazima kutakuwa na kuulizana kwa habari ya misosi na vinywaji..
Ila kama ni mlupo, aah ndio zao hizo....tena anaagiza na za kufunga kabisa,maana anajua yupo na ATM karibu.
 
kwahiyo Wanawake kama hao awafai ktk Tanzania hii ya Leo sababu kila kitu kinapanda.
 
ushatuambia ni demu wako wanawake wengine tunahusikaje hapo?
 
kama hutaki aagize si mkutanie kituoni???? Au chini ya mwembe na sio baa/hoteli
 
Back
Top Bottom