Barn
JF-Expert Member
- Feb 28, 2017
- 2,733
- 4,044
Umesomeka mkuu.Umezingua sana.
1. Una mke na mtoto
2. Unamtongoza jirani?!!!!
-Unamuaibisha mkeo.
-Kama shida ni mademu, tafuta mbali msela wangu.
Embu fikiria kama ungesikia jirani yako anampiga mkuyenge mkeo!
Anyway, ushauri wangu,
Kama wampenda mkeo tatua hilo tatizo kabla hajalijua fasta.
Achana na huyo demu mapema
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe si wakupigwa jiwe, wewe ni wakupigwa bakora...Nyie mnaetukana humu mnataka kusema hamna michepuko ambae hajawahi kuchepuka aanze kunirushia jiwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumia busara katika kuchepuka sio kuongozwa na mkuyenge wako.Soon or letter, mkeo atajua.Kwanza inawezekana anajuwa na yeye analiwa na mzee kipara wa mtaa wa pili hapo.Nyie mnaetukana humu mnataka kusema hamna michepuko ambae hajawahi kuchepuka aanze kunirushia jiwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Nafikiri hata wewe ni wa ajabu tu. Ulitegemea nini baada ya kutongoza na kukubaliwa. Na ipo siku itajulikana wazi wazi sijui siku hiyo utakana au utakubali. Yatakuwa ya kwako yote.Mimi nina mke na mtoto mmoja. Hapa jirani ninapoishi kuna dada mmoja mkali yaani mzuri sana.
Sasa Kuna siku nilikutana naye dukani jioni saa moja nikamuomba namba akanipa. Baada ya kupeana namba tukawa tunawasiliana story za kawaida. Kadri siku zilivyokuwa zinaenda nikaanza kumtongoza akawa mkali na kunitolea nje akaniambia wewe una mke sitaki mazoea.
Kama ilivyo ada hakuna mkate mgumu mbele ya chai mwishowe akakubali tukaingia kwenye mahusiano. Sasa kilichonifanya mpaka niandike hapa ni kwa jinsi alivyokolea kimapenzi amefikia hatua anamuonea wivu wife. Akiniona na wife anachukia kinoma kufikia hatua hamsalimii mpaka wife kuna siku kaniuliza huyu dada kawaje siku hizi hanisalimii kabisa; nikapotezea sikumjibu kitu wife.
Sasa mdada ananisumbua ananipgia simu mpaka usiku, na nadhani lengo mke wangu ajue.
Yaani wanawake ni watu wa ajabu sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku na mke wako akianza kutoka Rafiki yako wa karibu ndo utajua wanawake ni wa ajabu zaidi.Mimi nina mke na mtoto mmoja. Hapa jirani ninapoishi kuna dada mmoja mkali yaani mzuri sana.
Sasa Kuna siku nilikutana naye dukani jioni saa moja nikamuomba namba akanipa. Baada ya kupeana namba tukawa tunawasiliana story za kawaida. Kadri siku zilivyokuwa zinaenda nikaanza kumtongoza akawa mkali na kunitolea nje akaniambia wewe una mke sitaki mazoea.
Kama ilivyo ada hakuna mkate mgumu mbele ya chai mwishowe akakubali tukaingia kwenye mahusiano. Sasa kilichonifanya mpaka niandike hapa ni kwa jinsi alivyokolea kimapenzi amefikia hatua anamuonea wivu wife. Akiniona na wife anachukia kinoma kufikia hatua hamsalimii mpaka wife kuna siku kaniuliza huyu dada kawaje siku hizi hanisalimii kabisa; nikapotezea sikumjibu kitu wife.
Sasa mdada ananisumbua ananipgia simu mpaka usiku, na nadhani lengo mke wangu ajue.
Yaani wanawake ni watu wa ajabu sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah, katika vitu vinavyoumiza kichwa ni kujulikana aisee najuta kwa kweli.Nafikiri hata wewe ni wa ajabu tu. Ulitegemea nini baada ya kutongoza na kukubaliwa. Na ipo siku itajulikana wazi wazi sijui siku hiyo utakana au utakubali. Yatakuwa ya kwako yote.
Tee wewe ni wife material sasa kwa nini usitamani kuolewa?
Mimi nina mke na mtoto mmoja. Hapa jirani ninapoishi kuna dada mmoja mkali yaani mzuri sana.
Sasa Kuna siku nilikutana naye dukani jioni saa moja nikamuomba namba akanipa. Baada ya kupeana namba tukawa tunawasiliana story za kawaida. Kadri siku zilivyokuwa zinaenda nikaanza kumtongoza akawa mkali na kunitolea nje akaniambia wewe una mke sitaki mazoea.
Kama ilivyo ada hakuna mkate mgumu mbele ya chai mwishowe akakubali tukaingia kwenye mahusiano. Sasa kilichonifanya mpaka niandike hapa ni kwa jinsi alivyokolea kimapenzi amefikia hatua anamuonea wivu wife. Akiniona na wife anachukia kinoma kufikia hatua hamsalimii mpaka wife kuna siku kaniuliza huyu dada kawaje siku hizi hanisalimii kabisa; nikapotezea sikumjibu kitu wife.
Sasa mdada ananisumbua ananipgia simu mpaka usiku, na nadhani lengo mke wangu ajue.
Yaani wanawake ni watu wa ajabu sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tee wewe ni wife material sasa kwa nini usitamani kuolewa?
Maendeleo hayana chama