Mbona hapa nakuona wewe ndiye wa ajabu? Kuna wanaume wengine ni aibu tupu dunia hii. Yani akili hawana kabisa. Nahurumia wadogo zangu maana wakiangukia kwa li**tu kama hili ndoto zao zimeharibika.
Umeharibu mwenyewe,huwezi kula jirani.Na kama ni mtu mzima anaweza kufanya maamuzi mabaya hiyo kitu isisimame,au akavunja ndoa yako.Ushauri, kuwa naye mbali kwa sasa,ikiwezekana block namba yake.
Sijui una akili za namna gani! Kuwa na haya, na kama haya ni ngumu kwako basi jiheshimu na kama kujiheshimu huwezi basi angalau mheshimu mke wako, na kama kumuheshimu huwezi basi angalau tambua uwepo wake.
Na hata kama ni kufurahisha jukwaa lakini kwa hii hali jitathimini(si kila jambo la kuanzisha Uzi)
Mkuu umetudhalilisha wanaume wenzio,kwanza kuwa na mchepuko ni kosa ilihali una mke, na kosa lingine kubwa ni kuwa na mahusiano na jirani yako,hapo umemdhalilisha hata mkeo na mwisho nasema wewe ni bonge la boya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.