Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,348
- 176,144
🤣🤣🤣🤣Bado natafuta comment yako kule kwa uzi wa Evelyn Salt wa juzi kati
Nilishatupia mbona!
🤣🤣🤣🤣Bado natafuta comment yako kule kwa uzi wa Evelyn Salt wa juzi kati
Nadhani haujaelewa nilichosema. Wewe kila unapokataa mwanaume kwenye supply yako wanaume wanazidi kupungua as una age.Hata uwe nazo za kujaza dunia bado sisi ni kama maji. So zitafuteni sana maana tunazihitaji.
Ndio.Kama unabisha nambie wewe mwanaume akisha kutongoza na akakubembeleza siku akiacha anarudi tena?!