Wanawake ni viumbe hatari sana duniani

Wanawake ni viumbe hatari sana duniani

huyu jamaa isingemuuma endapo kuanzia mwanzo angejua kuwa huyo mtt sio wake.. kinachouma ni kufichiwa ukweli ukadhani mzazi kumbe mlezi..

wewe unapewa kbs taarifa kuwa nina mtt nje unakubali.. tatizo liko wapi wakt unajua kbs kuwa kiumbe unacholea sio chako?? hayo maumivu yanalingana?

Hayalingani ila mkome napenda kuona mwanaume anaumia raha sana
 
Na mie napenda kuona mwanamke anaumia yaaani ni bonge la utamu safi sana
 
tukubaliane Tu mtoto lazma afanane na baba km hatak kufanana hata kucha basi wanaume tuwakatae maana mpk dna tena..!
 
.....ukiona mtu mzima mamaaaa....analia ...mbele za watu...ujue kuna jambooo....
 
utapimaje DNA baada ya miaka 9??

alikuwa anamuamini sana mkewe! alienda kupima baada ya kukorofihana na mke kuongea kuwa "watoto sio wako" mbaya zaidi watoto walikuwa wanaoneshwa baba yao halisi then wanaambiwa wasimuambie baba anayewalea[ baba aliyesingiziwa!]
 
Back
Top Bottom