Wanawake ni viumbe hatari sana duniani

Wanawake ni viumbe hatari sana duniani

alikuwa anamuamini sana mkewe! alienda kupima baada ya kukorofihana na mke kuongea kuwa "watoto sio wako" mbaya zaidi watoto walikuwa wanaoneshwa baba yao halisi then wanaambiwa wasimuambie baba anayewalea[ baba aliyesingiziwa!]

Uckute uyo rafik ako hana kizazi ndio maana wenzie wakamti.a mimba mkewe....haiwezekani watoto wote wasiwe wa uyo rafk ako
 
Ukimwacha jiandae kuongezewa mwingine sijui ndo utampima polygraph kila baada ya kukupata taarifa ya ujauzito? Maana DNA inachelewesha maswala.


Ila tuseme tu ukiona umeoa na bado mkeo anachapwa nje, jichunguze kunatatizo tena kubwa sana, maana kwa uzoefu wangu KE ni waaminifu zaidi na waoga wa kuchapwa nao nje ndoa.

Umeongea ukweli
 
Dont underestimate the power of a woman,,,,,,,
Wanawake tunaweza.
 
Sawa mkuu kumbe inauma .. sisi.tunavyolea wa kwenu mnaona ni tamu kwetu kwenu chungu....... akome

Unaweza kulea mtoto wa mwanaume ukiwa unajua kabisa alizaa na mwanamke mwingine, lakini ni tofauti unapopigwa changa la macho kwa kuambiwa mimba ni yako tangu mwanzo halafu mkikorofishana ndio unaambiwa mtoto sio wako! Huoni huo ni ushetani?!!
 
Unaweza kulea mtoto wa mwanaume ukiwa unajua kabisa alizaa na mwanamke mwingine, lakini ni tofauti unapopigwa changa la macho kwa kuambiwa mimba ni yako tangu mwanzo halafu mkikorofishana ndio unaambiwa mtoto sio wako! Huoni huo ni ushetani?!!

Mimi naona ni ushwatwain lakini sasa tuvumiliane tu
 
Sawa mkuu kumbe inauma .. sisi.tunavyolea wa kwenu mnaona ni tamu kwetu kwenu chungu....... akome
Ninyi mnalea huku mkijua kuna tofauti kubwa hapo. Kinachouma sio kulea ni kudanganywa for good nine years!!!
 
Hayalingani ila mkome napenda kuona mwanaume anaumia raha sana
Leo nimekusoma vizuri sana. Utakuwa una maumivu makali sana moyoni mwako. Alaaniwe mwanaume aliyekupa maumivu ambayo naona unashindwa kuyasahau kabisa, sitaki kukumbusha ila kama hutajali huyu jamaa alikubaka au alifanya nini hasa??

Pole sana mangi. Pole sana.
 
Wajiwowe mara mbili? Maana juzi tu walikuwa wanagombea haki za kujiwowa.

Yaani wanaboa sana wanavyojisifia infidelity, sisi tunawapa ya chini chini yanaouma zaidi.

Mambo yako lkn?
Sasa na wewe Kaunga unashabikia huu upuuzi ili iweje. Men are polygamous in nature inabidi mkubali hili and they do not tolerate sharing whatsoever ndiyo maana inauma sana inapotokea kama hivi. By the way mwanamke akiingia kwenye 18 zangu na staili kama hii anaweza kujikuta kichwa na kiwiliwili ni vitu viwili tofauti.
 
hahahah watotot hawana hatia ni mama yao jamani
Mbona unaita mitoto???
 
Ila kwa upande mwingine....

Mwanaume kama umeishi na mke miaka 9

Halafu watoto 2 sio wako..

Kafanye sperm analysis
 
ilimtokea dr. mmoja mtu wangu wa karibu wana watoto wa3 wa mwisho si wake na anajua kabisa maana kuna mshkaji alikua anakaa aliokokua anafanya kazi mwanzo kafanna nae mpaka tabia zao
ila alanimbiaga inabidi tu nimpende sana(anatumia nguvu za ziada kumpenda)
ila anasema inaumiza sana ila hana jinsi maana dogk ana akili sana.
 
Back
Top Bottom