1st AID
JF-Expert Member
- Jul 29, 2014
- 1,079
- 523
Si bora hata huyo amesema, wengine wanapiga kimya ..unashanga unamtoto kuanzi muenekano mpaka tabia tofauti kabisa na wenzie...
issue ni kupata mtu mtakae kuwa na lengo na nia moja kwamba tunaanzisha familia yetu... vingine ...fyeka mama fyeka mtoto kama ilivyo tokea kule Kahama....ndo unakuta mtu anaishia jela au kwenye hasira za wananchi
issue ni kupata mtu mtakae kuwa na lengo na nia moja kwamba tunaanzisha familia yetu... vingine ...fyeka mama fyeka mtoto kama ilivyo tokea kule Kahama....ndo unakuta mtu anaishia jela au kwenye hasira za wananchi