Wanawake ni viumbe hatari sana duniani

Wanawake ni viumbe hatari sana duniani

mutant gene

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
876
Reaction score
326
hivi mtu unaamua kuoa, halafu unaishi na mke yako miaka tisa, mumezaa watoto 2, siku mnakorofishana anakuambia mtoto sio wako!! unaamua kuenda kuangalia DNA unakuta ukweli sio wako!! yani miaka yote ulikuwa unalea mke na mitoto ambayo sio ya kwako ambayo unajua ni yako !! hii ni true story imetokea rafiki yangu inaweza ikakutokea wewe mimi pia...usiamini kiumbe kinachoitwa ke hata usiku mmoja, bora upoteze pesa na muda wako mapema pale tu mtoto anakozaliwa kuepuka gharama zisizokuwa za kwako. Bora kulea watoto yatima huku ukijua kabisa ni yatima kuliko kulea mitoto ya kusingiziwa halafu baadae unakuja kujua sio yako!! inauma sana...kuwa makini na wadada wa mjini.
 
Hata kama mjue inauma kulea mtoto wa mwenzio hata kama unajua

huyu jamaa isingemuuma endapo kuanzia mwanzo angejua kuwa huyo mtt sio wake.. kinachouma ni kufichiwa ukweli ukadhani mzazi kumbe mlezi..

wewe unapewa kbs taarifa kuwa nina mtt nje unakubali.. tatizo liko wapi wakt unajua kbs kuwa kiumbe unacholea sio chako?? hayo maumivu yanalingana?
 
Mimi nina wazo moja, kama mko kwenye kipindi ambacho mnasaka mtoto, kwanini msisafiri angalau nje ya mji ambako hakuna watu wengi, au mwende vijijini mwenu hukoooo kwa mwezi mmoja hivi, huko sasa muwe mnaingiliana kimwili na kimaumbile mpaka mtakapopata mnachotafuta?

Hapa kiasi sasa itapunguza kuletewa watoto ambao si wako...!
 
Hawa marafiki wana kazi maana kila tatizo ni rafiki ndo linamtokea.By the way mpe pole rafiki yako ila uzembe ni wake

hahaha umeona enh... marafiki wanasingiziwa sana humu!!! miaka tisa yote umeshndwa kushtukia kabisa, mtoto akikosa vitu flan flan kutoka kwang lazima nidoubt
 
Back
Top Bottom