Sigonella Island
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 13,468
- 40,821
Kila mmoja akibaki na demu mmoja wengine watalombwa na nani tatizo wanawake wanabinafsiWatasema ni asili yao kusaliti qmmk
Kila mmoja akibaki na demu mmoja wengine watalombwa na nani tatizo wanawake wanabinafsiWatasema ni asili yao kusaliti qmmk
Kuna ukweli hapo 🤔Hahhaa how happy I am! Oga pendeza jitoe out there’s more to life😅
Wapi?Na wanaume wasaliti?
HahahaKila mmoja akibaki na demu mmoja wengine watalombwa na nani tatizo wanawake wanabinafsi
Ukweli upo ndioKuna ukweli hapo 🤔
Wanawake wasaliti dhambi yao sio ndogoPole boss
Mwanamke anakusaliti hivi unamuonaBoth Men and Woman are capable of cheating,
as infidelity is a behavior driven by personal choices,
Both gender cheat.
Hapana hujazinguaNi asubuhi sana...inafikirisha
Aseme kama mama chanja kazingua tumpe pole
Punguzeni usaliti, kwa nilichokiona juzi wanawake wasaliti mbinguni hamuendi😂😂😂 sio neno baya,ni vile mods wana wivu
Sio kabisa wanawake ni wasaliti sana yaan mpaka nimeandika jua kuna jambo limenigusa sana, wanawake wapunguze usalitiKama ni mke unahaki ya kupiga kelele.
Lakini kama ni mpenzi hata usijisumbue maana sasa hivi ni normal kukuta mtu ana wapenzi 10 na anawamudu vizuri tu.
Unaoga unapendeza kisha unaenda kukwea gari ya maana usiku analipaki gizani anakuvua chupi na kukugonga ndani ya gari halafu jamaa yako unamwambia nipo kwa brother sehemu fulani si ndio? Ukirudi huko jamaa akiomba game unamgomea kumbe umetoka kuvuliwa ndani ya gari la mjinga mmojaHahhaa how happy I am! Oga pendeza jitoe out there’s more to life😅
Sijaelewa hapo mali ghafi au mali nini?Wanawake wanawake wanawake wanawake wanawake wanawake this wanawake that ..
Nafikiri zama za kumtendea mwanamke kama mali zinapitwa na wakati ...
Hueleweki mkuu nyooka kidogokama kitu ni sawa, kiwe sawa kwa kila mtu.
kama si sawa, kisiwe sawa kwa kila mtu.
Sema hajazingua bwanaHapana hujazingua
Kwenye mahusiano, uaminifu hauwezi kuwa wa upande mmoja. Ukivunjwa na mmoja, tayari ni dosariHueleweki mkuu nyooka kidogo