Wanawake, napungukiwa nini?

Wanawake, napungukiwa nini?

AMKA SASA

Member
Joined
Feb 4, 2015
Posts
34
Reaction score
9
Kila siku naona mijadala humu kwamba heshima pesa, shikamoo makelee, pia mnasema kama huna pesa wanawake wakali utaishia kuwaita shemeji tu.

Mimi nina kila kitu lakini wanawake wakali, wenye shape za hatari, walioumbika kwa ile namba 8, waliojaliwa neema za allah kila nikiwatupia ndoano wanatema.

Nini tatizo ili nijipime?
 
Sasa una kila kitu ila hujui jinsi ya kutumia ulivyonavyo
 
usichukulie siriaz maneno ya humu.
Hata ivyo taste yako iko kiubishoo zaid kuliko kihalisia yaani wewe unamtaka mwanamke wa mapambo tu.
muda mwingine mwanamke asokuwa na shape ile ya Leila ama suzy wa kwenye gazeti la wasaa ni mzuri zaidi kwenye kila idara kuliko hao unaowataman.

istoshe Mungu anamjua aliyekupa awe wako na wewe unaenda kwa yule asokuwa wako.
 
pesa sio kila kitu
TRUST ME hapa jf tinaongea tu ila tukitoka hapa na kujifungia chumbani wenyewe tunasema mioyoni mwetu mwanaume tumtakae na pesa huwa haipo kwenye list

ndo nakwambia sasa

jitathmini

Kwa ujumla JF inatujengea utambulisho (identities) wa aina mbili. Kwanza kuna ile halisi ya kawaida ambayo mtu anaishi nayo mtaani. Nyingine ni hii ya JF - Avatar fake, ID fake na taswila fake. Wengine kwa kutosoma katikati ya mistari, huchukulia hizo taswila fake kuwa ndio halisi. Yote ni sehemu ya maisha ya binadamu!
 
pesa sio kila kitu
TRUST ME hapa jf tinaongea tu ila tukitoka hapa na kujifungia chumbani wenyewe tunasema mioyoni mwetu mwanaume tumtakae na pesa huwa haipo kwenye list

ndo nakwambia sasa

jitathmini

nimeamini humu tunapotoshana sana.
 
usichukulie siriaz maneno ya humu.
Hata ivyo taste yako iko kiubishoo zaid kuliko kihalisia yaani wewe unamtaka mwanamke wa mapambo tu.
muda mwingine mwanamke asokuwa na shape ile ya Leila ama suzy wa kwenye gazeti la wasaa ni mzuri zaidi kwenye kila idara kuliko hao unaowataman.

istoshe Mungu anamjua aliyekupa awe wako na wewe unaenda kwa yule asokuwa wako.

tatizo nikiwa na wa hivyo bado nitaendelea kutamani wa nje.
 
Kwa ujumla JF inatujengea utambulisho (identities) wa aina mbili. Kwanza kuna ile halisi ya kawaida ambayo mtu anaishi nayo mtaani. Nyingine ni hii ya JF - Avatar fake, ID fake na taswila fake. Wengine kwa kutosoma katikati ya mistari, huchukulia hizo taswila fake kuwa ndio halisi. Yote ni sehemu ya maisha ya binadamu!

kwa mfano mimi unaweza ukahisi ni jinsia gani??
 
Mwenyeezi Mungu anakuepusha na uzinzi wewe unashangaa. Soma:

[h=1]1 Wakorintho 6
8 Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,[/h]9 wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.
 
nimeamini humu tunapotoshana sana.

humu ndani kuna watu ni wanawake na wanaume na wana id mbalimbali na mitazamo tofauti hata siasani kuna watu ni chadema kwa id A na kwa id B ni CCM na vizibitisho tunavyo
ukija Mmu ana id ya kike na ya kiume
mi sitaki ona Aki humu ndani unapotezwa hivi hivi
FANYA YAKO kama u ataka manzi mwenye ile kitu roho yako inataka basi tafuta hiyo hiyo
ya nini umtafute mtu mnafanana i mean haijulikani nani ni baba mtu akipita nje wote mnakoromeana
tafuta kitu roho inapenda ukae utulie MAISHA NDO HAYA HAYA
 
tatizo nikiwa na wa hivyo bado nitaendelea kutamani wa nje.

mkuu usitafuta alieko tayari nenda kamtafute wako umtngeneze
wewe unatafuta mtu ana kila kitu???? kashatengenezwa na washika dau?????
 
wewe thread za kisanii za kina lara1 zimekuharibu.. kuwa ww humu jf hasa MMU kunaupotosha mwingi na slow 'minded threads'
 
Last edited by a moderator:
Anza kwa kujiuliza Y unatemwa? and if wanaokutema ni zaidi ya wawili my frnd ww ndio unatatizo its either you expect too Much or you are showing off too much be neutral and do your thing!
 
Mwenyeezi Mungu anakuepusha na uzinzi wewe unashangaa. Soma:

1 Wakorintho 6
8 Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,


9 wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.

uasherati ndo kosa gani?
 
Mwenyeezi Mungu anakuepusha na uzinzi wewe unashangaa. Soma:

[h=1]1 Wakorintho 6
8 Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,[/h]9 wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.

kwani uzinzi ndio uasherati??
 
Back
Top Bottom