Wanawake nao waanze kutuhonga sisi wanaume

Wanawake nao waanze kutuhonga sisi wanaume

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
40,349
Reaction score
62,579
Sasa ni muda muafaka kwa wanawake nao, kuanza kuwahonga wanaume ili wawe nao kwenye mahusiano.

Haiwezekani, miaka nenda rudi, sisi wanaume ndio tunakuwa tunawahonga au kuwashawishi wanawake kuwa nao kimahusiano.

Hii sio sawa; kama mnadai haki sawa, basi na nyie wanawake anzeni kutuhonga; kwa sababu kwenye mahusiano, wote tunapata starehe; hakuna anayepata starehe zaidi ya mwingine.

Haya mambo yakutufanya sisi wanaume vitega uchumi, hapana kabisa.

Mabadiliko yanaanza kuanzia sasa​
 
Mimi kuna mwalimu nimempiga chini juzi. Yaani nampelekea moto hadi anakiri kwamba hajawahi kupata hizi raha usichana wake wote.

Na yeye ndie msumbufu kunihitaji mimi kuliko mimi kumuhitaji yeye.

Ajabu yake anataka niwe nampa hela wakati kazi yote kitandani nafanya mimi.

Sasa mtu kama huyu inabidi yeye ndio anipe hela mimi. Kapata nyongeza serikalini lakini hatosheki

Kazi kuniambukiza U.T.I tu... mxeeew!
 
Mimi kuna mwalimu nimempiga chini juzi. Yaani nampelekea moto hadi anakiri kwamba hajawahi kupata hizi raha usichana wake wote.

Na yeye ndie msumbufu kunihitaji mimi kuliko mimi kumuhitaji yeye.

Ajabu yake anataka niwe nampa hela wakati kazi yote kitandani nafanya mimi.

Sasa mtu kama huyu inabidi yeye ndio anipe hela mimi. Kapata nyongeza serikalini lakini hatosheki

Kazi kuniambukiza U.T.I tu... mxeeew!
[emoji23][emoji23] kazi ipo
 
Mimi kuna mwalimu nimempiga chini juzi. Yaani nampelekea moto hadi anakiri kwamba hajawahi kupata hizi raha usichana wake wote.

Na yeye ndie msumbufu kunihitaji mimi kuliko mimi kumuhitaji yeye.

Ajabu yake anataka niwe nampa hela wakati kazi yote kitandani nafanya mimi.

Sasa mtu kama huyu inabidi yeye ndio anipe hela mimi. Kapata nyongeza serikalini lakini hatosheki

Kazi kuniambukiza U.T.I tu... mxeeew!
Ukiacha kumpa hela, atakuambia hujui kitu kitandani; anakufanyia maigizo
 
Sasa ni muda muafaka kwa wanawake nao, kuanza kuwahonga wanaume ili wawe nao kwenye mahusiano.

Haiwezekani, miaka nenda rudi, sisi wanaume ndio tunakuwa tunawahonga au kuwashawishi wanawake kuwa nao kimahusiano.

Hii sio sawa; kama mnadai haki sawa, basi na nyie wanawake anzeni kutuhonga; kwa sababu kwenye mahusiano, wote tunapata starehe; hakuna anayepata starehe zaidi ya mwingine.

Haya mambo yakutufanya sisi wanaume vitega uchumi, hapana kabisa.

Mabadiliko yanaanza kuanzia sasa​
Hahaha Nouma sana
 
Sasa ni muda muafaka kwa wanawake nao, kuanza kuwahonga wanaume ili wawe nao kwenye mahusiano.

Haiwezekani, miaka nenda rudi, sisi wanaume ndio tunakuwa tunawahonga au kuwashawishi wanawake kuwa nao kimahusiano.

Hii sio sawa; kama mnadai haki sawa, basi na nyie wanawake anzeni kutuhonga; kwa sababu kwenye mahusiano, wote tunapata starehe; hakuna anayepata starehe zaidi ya mwingine.

Haya mambo yakutufanya sisi wanaume vitega uchumi, hapana kabisa.

Mabadiliko yanaanza kuanzia sasa​
Umewachokoza wanakuja kukulipua sasa hivi muda sio mrefu utapewa majina ya mario, kibenten, dume suruali n.k. hawa wenzetu zile mbwembwe zao za 50/50 na ile kauli ya lady is first application zake wanataka ziwe kwenye mambo matamu tu na ambayo hayawaingizi gharama
 
Umewachokoza wanakuja kukulipua sasa hivi muda sio mrefu utapewa majina ya mario, kibenten, dume suruali n.k. hawa wenzetu zile mbwembwe zao za 50/50 na ile kauli ya lady is first application zake wanataka ziwe kwenye mambo matamu tu na ambayo hayawaingizi gharama
Mambo ya kumbebesha kijana wa watu majukumu, ambayo wazee wao wameyashindwa kutekeleza, hapana kwa kweli
 
Back
Top Bottom