Wanawake nani kawaroga??

Wanawake nani kawaroga??

Hicho ndicho kilichokupeleka bar manake najua kilichokupeleka bar ni balimi hayo ya mavaz ya mabaamed waachie wenyew manake wanajitaftie riziki kupitia mavaz yao
 
Eid Mubarak wana JF
Nipo bar flani hapa nakula Balimi
Nimevutiwa na mavazi ya hawa wahudumu yani wote wamevaa vipensi vifupi mno yani nusu uchi ,matumbo yapo wazi wanatuhudumia hapa full burudani
Ila kuna wakati nawaza na kiwasikitikia hivi wanawake nyie nani kawaroga kukaa uchi mbele ya kadamnasi ndo nini,je hamna wababa ambao wanaweza kuja hapa na kukuta mwanae anajidhalilisha kwa kukaa uchi mbele ya wanaume na wanawake wenzao ambao wanajiheshimu
Demu bonge kafungasha chura hips kubwa tumbo hilo(kitambi) halafu kavaa pensi fupiiii
Mavazi Haya tumezoea kuyaona sehemu tunazonunua Malaya Ila kwenye hii bar nliyopo ndo Sare za wahudumu wa kike yani ni Noma
Karibuni Balimi
Mfungo umekwisha mkuu

Ndio mavazi yao c unajua tena.....!!!!!
 
Huoni yalivyokuvutia hadi umeyafungulia uzi.
Peleka ujumbe kwa meneja, mwambie nyie walevi hamyataki hayo mavazi, changes beggins with you.
 
Eid Mubarak wana JF
Nipo bar flani hapa nakula Balimi
Nimevutiwa na mavazi ya hawa wahudumu yani wote wamevaa vipensi vifupi mno yani nusu uchi ,matumbo yapo wazi wanatuhudumia hapa full burudani
Ila kuna wakati nawaza na kiwasikitikia hivi wanawake nyie nani kawaroga kukaa uchi mbele ya kadamnasi ndo nini,je hamna wababa ambao wanaweza kuja hapa na kukuta mwanae anajidhalilisha kwa kukaa uchi mbele ya wanaume na wanawake wenzao ambao wanajiheshimu
Demu bonge kafungasha chura hips kubwa tumbo hilo(kitambi) halafu kavaa pensi fupiiii
Mavazi Haya tumezoea kuyaona sehemu tunazonunua Malaya Ila kwenye hii bar nliyopo ndo Sare za wahudumu wa kike yani ni Noma
Karibuni Balimi
Mfungo umeisha, mmeamua kufungulia kila kitu sasa
 
embu tuachie umbie sisi walev ndo tunayapenda yani ukiwatazama na hivo visket ukichanganya na pombe unapata stimu mubashara kabisa
 
Na ingekuwa vyema awaulize hao waliovaa hivyo kwa sababu kuja kutuuliza ambao hatuvai hiyo nusu uchi ni sawa na kutuonea.
Kwa mtazamo huu, hakuna kitakachoulizwa humu kikapata majibu
 
Eid Mubarak wana JF
Nipo bar flani hapa nakula Balimi
Nimevutiwa na mavazi ya hawa wahudumu yani wote wamevaa vipensi vifupi mno yani nusu uchi ,matumbo yapo wazi wanatuhudumia hapa full burudani
Ila kuna wakati nawaza na kiwasikitikia hivi wanawake nyie nani kawaroga kukaa uchi mbele ya kadamnasi ndo nini,je hamna wababa ambao wanaweza kuja hapa na kukuta mwanae anajidhalilisha kwa kukaa uchi mbele ya wanaume na wanawake wenzao ambao wanajiheshimu
Demu bonge kafungasha chura hips kubwa tumbo hilo(kitambi) halafu kavaa pensi fupiiii
Mavazi Haya tumezoea kuyaona sehemu tunazonunua Malaya Ila kwenye hii bar nliyopo ndo Sare za wahudumu wa kike yani ni Noma
Karibuni Balimi
Ulilazimishwa uende huko?
Embu acha kufatilia maisha ya watu, kama sehemu imekukera sepa kimya kimya tuu. Acha kuingilia biashara za watu.
 
Back
Top Bottom