kula kwa tindo
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 1,330
- 323
Watoto wa kiume siku hizi hovyo sana, wanataka miteremko tu ndo maana utaskia 'natafuta jimama linilee...'
Heshima ya mwanaume kazi/kuwajibika...ebo!
Mtaishia kulia lia hivi hivi na kubebesha wengine lawama...
Kajisemea AshaDii, tunakoelekea ni kama wanaume hawatakuwepo! Tunashindana tu kupaka lipgloss na mawimbi na rasta za uzi vichwani
Na wanawake mkisahau mavazi yenu na kukimbilia ya WABABA... VIGEUGEU NYIE..