Wanawake na Simu ya mkononi?

Nakushauri uweke landline nyumbani au hata ile ttcl mobile na uiweke sebuleni au jikoni. Nilikuwa na tatizo hili na mke wangu, tuligombana sana mwisho nikaona isiwe tabu, nikaja na hiyo solution, nikaweka landline! akiwa nyumbani nikapiga mobile mara 1 bila kupokea, napiga landline (si unajua linavyolia) basi hata sekunde haipiti nasikia ''hallow'', akiwa ofisini natumia ya ofisini, akiwa ametoka, nimeweka ttcl mobile kwenye gari lake..... basi full covered nampata muda wowote. Hili ni tatizo la wanawake wengi, so usikasirike, tafuta solution!

Halafu baada ya shida yote hiyo, umempigia kwenye landline ya nyumbani, unamuuliza "Uko wapi" anakujibu "nipo nyumbani, si umenipigia simu ya nyumbani?" "Nilikuwa nakusalimia tu"
 
huko ni kutesana sasa, wacha apige tu mpaka achoke nitakapoickia ndipo nitaijibu.
we nyamayao toa sulution bana! inakera sana kupiga simu mara nne au tano mfano kwa kesi yangu ilikuwa nimeshikwa na polisi alitakiwa alete document za gari nilizisahau ili isilale polisi...hatimaye gari imelala polisi na ndio gari ninayoitegemea kwa shughuli zangu za kibiashara..it was very urgent kwakweli..nimepiga kama masaa mawili mtu hapokei

hii ndiyo ilikuwa extreme case lakini kabla ya hapo nilishazoea kuwa-dispointed nilikuwa na dunda maisha wala sikuwa napata shida najua wanawake ndiyo walivyo wako occpaied na home activities you see
lakini hapa nimeliwa pesa, time na gari limelala polisi kuitoa bongo mpaka kamanda kova acheke wiki nzima..hasara kwa familia akiwemo yeye na mimi na watoto..na mtu una simu ya mkononi inaboa!
 
we nyamayao toa sulution bana! inakera sana kupiga simu mara nne au tano mfano kwa kesi yangu ilikuwa nimeshikwa na polisi alitakiwa alete document za gari nilizisahau ili isilale polisi...hatimaye gari imelala polisi na ndio gari ninayoitegemea kwa shughuli zangu za kibiashara..it was very urgent kwakweli..nimepiga kama masaa mawili mtu hapokei

hii ndiyo ilikuwa extreme case lakini kabla ya hapo nilishazoea kuwa-dispointed nilikuwa na dunda maisha wala sikuwa napata shida najua wanawake ndiyo walivyo wako occpaied na home activities you see
lakini hapa nimeliwa pesa, time na gari limelala polisi kuitoa bongo mpaka kamanda kova acheke wiki nzima..hasara kwa familia akiwemo yeye na mimi na watoto..na mtu una simu ya mkononi inaboa!

Hapo ndipo utajua kwamba "Ujamaa na Kujitegemea" bado ni siasa ya nchi.
 
nyinyi naona mnataka kugeuza wanawake 'watumwa' wa simu zao sasa.

mwanamke yuko nyumbani kwake, mnataka akenda chumbani kupumzika abebe simu, akenda jikoni kupika abebe simu, akenda ****** pia abebe simu!

tofauti na mwanamme ambe mna mifuko ya suruali mnaweka simu zenu saa zote na inawafuata mnapokwenda........wanawake hatuna vitu hivyo....and some of us cant be bothered na 'kutumikia' simu saa zote anyway! (simu yangu iko kwenye silent mode all the time)

ukitaka kuwasiliana na mie mkeo, niwekee simu ya ndani ambayo nitaisikia mlio wake popote nitakapokuwepo nyumbani bila ya kutumikia simu kwa kuibeba saa zote

Dada Gaijin,
Mawasiliano katika ndoa ni kitu cha muhimu sana na ni mojawapo ya vichocheo vya kukuza upendo ndani ya nyumba. Nimesikia wanawake wengi wakilalamika kuwa siku inaisha mumewe hajampigia hata simu wala kumtumia sms. Sasa kama unaweka simu yako kwenye "silent mode" na unaifungia kwenye mkoba wako au uko nyumbani unaiacha chumbani wakati uko sebuleni kwa kweli ni tatizo. Nafikiri ni jambo tu la kubadilika kwa wake zetu ili muweze kupatikana kirahisi. Namshukuru MUNGU mke wangu yuko reachable muda wote.
 
JF napata experience na wife yaani simu ya mkononi mara nyingi iko chumbani, ndani ya begi, etc? huwezi kumpata on time hata kama issue ni very urgent lazima upige kama mara tatu na kuendelea...??
Do you experience the same kwa wake/girlfriends wenu na unashauri nini kifanyika?? inaboa sana hii.

kwa Ushauri wangu si ya mkononi kwa wake zetu haifai hata kidogo inayofaa simu ya ndani ni bora kwa wanawake simu ya mkono kwa wanaume ndio bora zaidi huo ndio ushauri wangu asanteni
 
umenchekesha kweli mana mie ninakuwaga na kazi ya kumwambia naomba ni beep nijue fone ipo kona gani ya handbag, mweh.

haa haa ha Nyamayao, kusema kweli mi hata nyumbani, huwa namomba ani beep ili nijue simu ipo wapi, sometimes huwa inakuwa kati kati ya bulungutu la nguo nilizoanua mchana
kasheshe inakuwaga kama niliweka kwenye silent mode ili isimuamshe mtoto...

simu hizi...mwe!
 
Kumegwa siyo issue kubwa kwangu ila tu unataka kutoa ujumbe fulani au maagizo fulani..dunia imerahisishwa badala yake uta-call mpaka saa nyingine unaamua kuchukua hatua ya kwenda mpaka eneo la tukio say home au business centre..time, money imeshatumika...kukumbusha gani huko bana mimi wananiboa sana!

Tumain unamaanisha unachosema kwamba kumegwa mkeo sio issue kubwa kwako? Una mke unaempenda? nina wasiwasi...
 
Tumain unamaanisha unachosema kwamba kumegwa mkeo sio issue kubwa kwako? Una mke unaempenda? nina wasiwasi...
Usiwe na wasiwasi hata kidogo? utazuia kumegwa mtu mzima na akili zake? nina mpenda lakini siyo kwamba eti niko so occupied kuchunguza maisha ya mke wangu not at all??
Yeye anajua madhara ya kumegwa nje ya ndoa? yeye ana akili? yeye ni matured? everyone plays his/her role that is it respect
 
we nyamayao toa sulution bana! inakera sana kupiga simu mara nne au tano mfano kwa kesi yangu ilikuwa nimeshikwa na polisi alitakiwa alete document za gari nilizisahau ili isilale polisi...hatimaye gari imelala polisi na ndio gari ninayoitegemea kwa shughuli zangu za kibiashara..it was very urgent kwakweli..nimepiga kama masaa mawili mtu hapokei

hii ndiyo ilikuwa extreme case lakini kabla ya hapo nilishazoea kuwa-dispointed nilikuwa na dunda maisha wala sikuwa napata shida najua wanawake ndiyo walivyo wako occpaied na home activities you see
lakini hapa nimeliwa pesa, time na gari limelala polisi kuitoa bongo mpaka kamanda kova acheke wiki nzima..hasara kwa familia akiwemo yeye na mimi na watoto..na mtu una simu ya mkononi inaboa!

Pole sana mkuu.
Ukweli hii kitu ina kera sana. imagine wewe na mke wako mko pande tofauti za dunia (mnatofautiana masaa). ww ukimpigia simu iko kapuni. anakuja ipata masaa 5 baadaye, hapo nawe uko labda usingizini.
haiji kwa kweli kina dada inabidi wajitahidi kubadilika.
 
Halafu baada ya shida yote hiyo, umempigia kwenye landline ya nyumbani, unamuuliza "Uko wapi" anakujibu "nipo nyumbani, si umenipigia simu ya nyumbani?" "Nilikuwa nakusalimia tu"


Teh teh teeeh, that sounda funny!!
 
Nadhani ingebuniwa simu maalum ya wanawake ambayo inakaa kwenye kitu chochote sensitive cha mwanamke mfano nywele!
 
Mie nadhani kuna sababu kama kadhaa za kutopokea simu haraka.
Kwanza, kuchelewa kupokea simu ni tabia waliyojijengea (kama ya kutokubali haraka akitongozwa ingawa naye amependa). Walizaliwa kutokuwa na haraka.
Pili, wanaweka simu kwenye mikoba ambayo inakuwa mbali kidogo na masikio. Hii ni tofaiti na wanaume wengi wanoweka simu zao kwenye mifuko ya mashati.
Tatu, ni mbinu mahsusi ya kuhakikisha kuwa kotopokea simu haraka ni tabia yake ili wakati akiwa kwenye anga zake aweze kutumia muda muafaka kujiandaa na majibu ya uongo. Kwa wale mnaoenda baa, mwanamke akipigiwa simu akiwa baa huhakikisha amekimbia kutoka alipo ili adanganye vizuri.
 
bwan si wanawake wote ndo wanaacha simu zao mbali na walipo, wengine wanapenda kweli simu zao kila mahali yuko nayo hadi ******. huyo mkeo anamatatizo yake usigeneralize tafadhali
 
bwan si wanawake wote ndo wanaacha simu zao mbali na walipo, wengine wanapenda kweli simu zao kila mahali yuko nayo hadi ******. huyo mkeo anamatatizo yake usigeneralize tafadhali

Remmy you are living in the past.
Thats all i can generalize you!
 
Tatizo litakuja pale ambapo kwa bahati mbaya mwanadada anapiga simu ya kiganjani ya mwanakaka mara kadhaa afu simu iwe haijapokelewa....atapindiwa midomo na kununiwa mpaka akome ubishi! Mkuki mtamu kwa nguruwe hahaha
Haaaa heeee, safi sana.
Hawa jamaa hawaoni ya kwao.
 
we nyamayao toa sulution bana! inakera sana kupiga simu mara nne au tano mfano kwa kesi yangu ilikuwa nimeshikwa na polisi alitakiwa alete document za gari nilizisahau ili isilale polisi...hatimaye gari imelala polisi na ndio gari ninayoitegemea kwa shughuli zangu za kibiashara..it was very urgent kwakweli..nimepiga kama masaa mawili mtu hapokei

hii ndiyo ilikuwa extreme case lakini kabla ya hapo nilishazoea kuwa-dispointed nilikuwa na dunda maisha wala sikuwa napata shida najua wanawake ndiyo walivyo wako occpaied na home activities you see
lakini hapa nimeliwa pesa, time na gari limelala polisi kuitoa bongo mpaka kamanda kova acheke wiki nzima..hasara kwa familia akiwemo yeye na mimi na watoto..na mtu una simu ya mkononi inaboa!


ndio mana mie nikasema apige tu nitakapoickia nitaipokea, mambo mengi nifikirie kurudi home baada ya kazi na kumwandalia chakula, bado mambo yangu ya kazi, babies wamefunga skul kwasasa bac hapo ndani ukifika hukumbuki cha cmu wala nn, bado nifikirie kukimbizana na cmu, atanisamehe!
 
Pole sana mkuu.
Ukweli hii kitu ina kera sana. imagine wewe na mke wako mko pande tofauti za dunia (mnatofautiana masaa). ww ukimpigia simu iko kapuni. anakuja ipata masaa 5 baadaye, hapo nawe uko labda usingizini.
haiji kwa kweli kina dada inabidi wajitahidi kubadilika.

mie kwa kweli nimejitahidi nimeshindwa, anajua kabisa mida ya jioni wakati natoka job akical mara 2 cjapokea anajua fone ipo kwenye mkoba na kuitafuta ni kasheshe na hapo nikifika home natupa mkoba naendelea na mambo mengine ya home mpaka nije nikumbuke cmu oohh ni kasharudi home kakacrika hafai....
 
Mwe mnacholalamika mimi kinakuta kwa mume wangu hapokei na hana matumizi ya simu. Hao wake zenu ni wafanya kazi au mama wa nyumbani? kama mama wa nyumbani wapige landline, kama ni wafanyakazi labda kazi ni kama zangu, hurusiwi kupokea simu ukiwa kazini mpaka lunch time.
 
Back
Top Bottom