Wanawake na mikopo

kwahyo alisema mmuue au mchukue lile lejesho lake naamin hamku muua mlifaid na mm ntafungua microfinance yang
 
kwahyo alisema mmuue au mchukue lile lejesho lake naamin hamku muua mlifaid na mm ntafungua microfinance yang
kiukweli mbususu ziko nje nje ni wew tu kujikaza kufunga zipu yako
 
Shukrani sana Mike,acha tu some upepo mtaani Kuna hela kama mtaji unao na ukatulia ...

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Hela ipo sana kikibwa wajue ni nani kawakopesha mike na wasikuzoee hata kidogo

Kukopesha kutamu aisee mpaka upigwe hasara basi umetaka wewe mwenyewe hapo bado haujazungumzia heshima ya kuitwa boss na kila mtu kwa wasiojua kazi yako .

Yaani ni raha na starehe tu .

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Pole sana
Sina familia ya kulisha Lamomy kwa mangi nikope ili iweje ?

Kinachonisikitisha umeyagusa nje ndani maisha ya boss wangu na jana wakati unaposti vile nilikuwa naye ananipiga mikwara njaa huku najua ana madeni kwa mangi yaani nikajikuta namhurumia sana .

Ila uliongea uhalisia maisha ya watu wa Tamisemi ni tabu tupu wananuka njaa tunanuka njaa japo hatutaki kukubali ukweli wa mambo .

Kwako mzee wangu wao ni wao

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Halafu tukisema wanawake wa siku hizi wanapenda hela kupitiliza wanakataa. Unakuta demu mmoja ana vikoba viwili,mchezo majina matatu ana mikopo miwili ,kipato chake hakilingani na hizo pressure alizo jitengenezea, so hapo lazima tu atauza indirectly ili apate hela.

Kwa wanawake wa siku hizi katika kumi basi zaidi ya nane wana michezo na vikoba na zaidi ya watano wana mikopo inayo waumiza halafu wengi wao hamna cha maana wanacho fanya kupitia hiyo mikopo,michezo na vikoba .Ndio maana siku hizi ukiomba namba hunyimwi ila jiandae na mizinga.
 
Kuna mmoja huyo Charambe ya Mbagala alinipa namba yake katika kuzungumza akaniambia hajisikii vizuri anahisi kuchanganyikiwa. Nikamuuliza nini shida akanijibu anadaiwa laki 5 anatakiwa marejesho, nikamuuliza aliifanyia nin hiyo pesa akanijibu mambo yake tu

Nikauliza tena, ulifanyia mambo yako ya biashara au binafsi akanijibu binafsi, nikampa hongera. Kidogo akanipiga kizinga cha elfu 5 ya kula nikamjibu sina pesa.
 
Pesa kama haijapelekwa kwa baba mchungaji basi kwa kalumanzila, wanawake karibu wote wanacheza humohumo.......vinginevyo ni kwenye nguo na viatu vipya bila kusahau kucha na nywele.​
 


Kama unafikiri hati ya Nyumba, Doc za magari kwenye mtu mwenye ndoa halali kuwa navyo ni sifa, Ngoja ashindwe kulipa uone kama vina msaada ku recover hela less than 1m.
 
Wapo wengi sana, hela sijui wanazielekezaga wapi, kuvaa? Kupendeza?
Waje wajibu
Lamomy Hannah Joannah Amehlo Chakorii Kelsea Tayana-wog Lenie Depal To yeye Nuzulati Aaliyyah
binti kiziwi
Mkuu utakuta wengi wao wana beba majukumu ya Nyumbani kwao!! Yani utakuta binti ana fosi kumaliza umasikini wa wazazi wake na ndugu za uko kijijini, badala ya kujipanga yeye na Mume wake kujenga uchumi wao kwaajili ya kizazi Chao cha sasa na cha baadae, Mabinti kama hawa ndiyo maana wafanya uchumi wa kwenye ndoa unakuwa mgumu kukua kufikia uchumi wa kati.

Sent from my SCV48 using JamiiForums mobile app
 
Los santos mnakosea kuwakopesha wake za watu bila signature za waume zao. Siku mkifuatilia rejesho kwa mke wa mtu, akashindwa kurejesha, mtachukua assets alizoweka rehani bila mume wake kufahamu?
Mkuu kisheria inakubalika kweli mfano mke kuweka dhamana TV, Friji, na kabati wakati hivyo vitu risiti zimeandikwa Jina la mume na siyo Jina la mke, Mume si ana weza kuzuia vitu kuuzwa?

Sent from my SCV48 using JamiiForums mobile app
 
Sasa mna uhakika gani hivyo vitu vya huyo mkopaji?

Sent from my SCV48 using JamiiForums mobile app
 
Pole yake, ndio maisha akomae
 
Najuta kuwakopesha wanawake manake wanashindwa kulippa matokeo yake wananipa K tunamalizana....UTI kila siku ndiyo gonjwa langu
 
Naona leo mmeamua kuwasema dada zangu kabisa nina dada zangu wawili hata uwaambie nini hawaachi hii mikopo sijui michezo. Ni miaka na miaka wanadaiwa na madeni yao hayaishagi hata ukiwasaidia wakapunguza unakuta tena wana madeni mengine mapya..

mi sasa hivi nawaangaliaga tu wanalalamika weeeee nawaangalia tu mana nimesha washauri waachane na mikopo hawasikii..

na hawana hata maendeleo yaani hata biashara zao zinakufa sbb ya mikopo.. ni wana stree full time ukipokea simu zao maongezi yao marejesho tu

hii mikopo ni aina nyengine ya ulevi katika jamii yetu
 
Wanawake kupenda mikopo ni kama wanaume kubett ,ni ulevi mkubwa na hakuna cha maana wanachofanya ili mradi awe anazunguka na kukutana na watu

Ila wapo hiyo michezo wanafanyia vya maana ni wachache sanaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…