Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 26,927
- 70,236
Si ajabu vinalamba mazingira
Wana ufahamu wa nyumba yoyte yenye sherehe au msiba hata googlemap haina huo ufahamuMbwa ana macho kama chalii ya ara
Hilo kwenye picha ni koko lilochanganya damu. Maoga kama nini. Siku moja nilikutana nalo nainama kufanga kamba ya viatu likatimua mbio balaa. Lilidhani naokota jiwe kulipiga.
Jamani 😃😃😃🤭Kanakauka kaa
Wanapigwa sana ndo sababu, sijui kwanini hawahami wakaenda porini kuepuka vipigo. Linapigwa linapiga ukunga dk mbili nyingi lipo hapo hapo.Hilo kwenye picha ni koko lilochanganya damu. Maoga kama nini. Siku moja nilikutana nalo nainama kufanga kamba ya viatu likatimua mbio balaa. Lilidhani naokota jiwe kulipiga.
Kumbe lengo lako ni kutwambia hivyo vimbwa huwa wanafanya nini navyo? Sasa mbona umetwambia kwa kuzunguka sana na wala siyo swali kwamba unataka kujua?Wengine wanalala navyo kwa kitanda yaani kama mtu na bebe wake vile. Hakika kama ni mahaba na vimbwa ni balaa.
Wadau wanasema vi kina manunu vinazama uvinza sio poa..Yule atuelezee maana anamahaba mno na kadog kake...
Siku akikubadilikiaMbwa Koko wetu wanatutosha...
Jiwe moja anatoka ndukiii
HahahaWanapigwa sana ndo sababu, sijui kwanini hawahami wakaenda porini kuepuka vipigo. Linapigwa linapiga ukunga dk mbili nyingi lipo hapo hapo.
Kumbe Bongo nako siku hizi ''ma-celebrity'' wanawake wanatembea na vi-mbwa. Hako ka-mbwa kalipotea lini? Naona kuna kila dalili ya usanii hapo, usanii wa kuiga majuu. Kuna celebrity mmoja wa kike alipotelewa na mbwa akaweka dau kubwa kwa atakayempata. Kama nakumbuka vizuri ni cases kama mbili au tatu.Nadhani Lulu diva atakua na majibu mazuri zaidi.. Maana kale kambwa kake (sijui kanaitwaje) kalivyopotea alitangaza milioni2 kwa atakayekuona
Ilikua kitu kama mwezi wa10 hivi au wa11 alipost kwenye insta story yake kua mbwa wake kapotea watu wamsaidie kutafuta atakayempata atapewa hiyo hela.After two days wakamletea na alivyoreact sasa, the way alivyokua anakakumbatia na kukabusubusu Hadi mdomoni.. nikaanza kuwa na mashaka😃Kumbe Bongo nako siku hizi ''ma-celebrity'' wanawake wanatembea na vi-mbwa. Hako ka-mbwa kalipotea lini? Naona kuna kila dalili ya usanii hapo, usanii wa kuiga majuu. Kuna celebrity mmoja wa kike alipotelewa na mbwa akaweka dau kubwa kwa atakayempata. Kama nakumbuka vizuri ni cases kama mbili au tatu.
🤣Mi sipendi Mbwa, nawaogopa ujue...
Ujanja wote we niletewe Dog
Kweli 80%....Sasa hivi unaweza jichangamya kumyonya PAPA ya mdada, ukaishia kuoiga denda anapopigaga denda Mbwa.
Jambazi hili 👹👺