Hewalaaaaaahhhh!!!! Good brother out there.
Hayo anayoyasimulia shemejio
Kasinde eti malaika
watu8 kamtokea usiku akamuamuru afumbe macho akiwa anaonekana ngozi yoote kitandani na mengine mengi yakaendelea ... wala sitaki kuamini... lazima alikua anaota tu huyu.... haiwezekani ikawa ni wewe.