Wanawake na magari

Wanawake na magari

mhalisi

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2011
Posts
1,181
Reaction score
322
waungwana kumekuwa na msemo kwamba asilimia kubwa ya kina dada wanapenda sana magari kiasi cha kwamba ni rahisi kwa binti au mwanamke kuingia kwenye mahusiano kwasababu amemuona mwanaume ana gari. je ni kweli dada zetu wanapenda sana magari? na kama ndio ni kwasababu gani?
 
waungwana kumekuwa na msemo kwamba asilimia kubwa ya kina dada wanapenda sana magari kiasi cha kwamba ni rahisi kwa binti au mwanamke kuingia kwenye mahusiano kwasababu amemuona mwanaume ana gari. je ni kweli dada zetu wanapenda sana magari? na kama ndio ni kwasababu gani?


Halina ubishi, hata wao wanajua hilo.

Woman.JPG
 
Mwanamke na gari ni sawa na mwanamke kumwona mwanamume anatoa bulungutu la hela dukani kulipa, akili inachanganyikiwa akiziona tu . We tupa ndoana utanasa samaki tu! Sijui kwa nini wanakuwa na kiwewe na magari!
 
Nimependa hilo pozi, ila si kweli kwamba tunachanganyikiwa kihivyo
 
Magari yanarahisisha na kuongeza privace ya mambo....in theory watu wanaamini mwanamke akianza kudate mtu mwenye gari/nyumba ...harudi nyuma kudate watu amabao hawana hivyo vitu ata wakiachana yeye atakuwa anawinda hao watu tu...
 
Magari yanarahisisha na kuongeza privace ya mambo....in theory watu wanaamini mwanamke akianza kudate mtu mwenye gari/nyumba ...harudi nyuma kudate watu amabao hawana hivyo vitu ata wakiachana yeye atakuwa anawinda hao watu tu...
Mkuu reference please!!


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Akina dada waliozoea hivyo kudate na wenye magari ,kila ikitoka style mpya ya gari basi huyo jamaa anaemiliki anae...hvo hvo mpaka wanaishia kuitwa machangudoa

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
waungwana kumekuwa na msemo kwamba asilimia kubwa ya kina dada wanapenda sana magari kiasi cha kwamba ni rahisi kwa binti au mwanamke kuingia kwenye mahusiano kwasababu amemuona mwanaume ana gari. je ni kweli dada zetu wanapenda sana magari? na kama ndio ni kwasababu gani?

Tushachoka na hizi mada.... WANAWAKE + MAGARI... Mbona gari kitu cha kawaida tu???

Mtambuzi njoo unisaidie!!
 
Last edited by a moderator:
Anafikiri utamuendesha endesha. Anafikiri pesa ipo
 
Inaweza kuwa kweli wanapenda magari au watu wenye magari lakini pia kwa upande mwingine kwa mazingira ya kwetu kibongo kibongo usafiri ni shida hivyo ukiwa na gari uwezekano wa kuombwa lift unakuwa mkubwa sio kwa kina dada wala kina kaka ila mara nyingi vijana wengi kabla ya kusimama huwa anamfanyia tathmini mrembo na kama analipa anasimama na kama amesimama na mwanaume anapita kama hawajaona hata kama wameomba wote na kwa kuwa safari ni ndefu kidogo ni rahisi kwa wewe ukiwa na gari kurusha ndoano tofauti na kama umemkuta dada humjui hakujui alafu utake kuongozana nae lazima atakupa za uso but ukiwa na gari kuombwa lift ni lazima tu iwe mwanaume au mwanamke atajaribu kukusimamisha(hapa gari inakuwa kama tool ya kutongozea), kwa mzingira kama haya utakuta lengo la kwanza lilikuwa lift lakini kadri unavyomzoea kwa kuchukua contact mnahamia upande mwingine tena wa mahusiano hasa ukizingatia mwanzoni utavyo-adjust budjet ya mafuta kwa kuongeza fungu kwa ajili yake kwa kumfuata popote alipo but ukimpata mwisho wa siku unaanza kupanga na root ambazo zitaku-favor katika matumizi sahihi ya mafuta

Sababu nyingine gari wakati mwingine inaleta imani kwamba huyo jamaa ana shughuli ya kufanya mjini hivyo kwa wale wanaoangalia criteria hizo inakuwa rahisi kuwa attracted. Hata kina kaka nao siku hizi huwa wanapenda wadada wenye magari alafu yeye anajifanya kujaza mafuta na kupeleka garage kumbe kudunduliza kumemshinda
 
Back
Top Bottom