Wanawake na kupenda wanaume wenye hela...

Michelle

JF-Expert Member
Nov 16, 2010
7,621
3,514
Siku hizi naona kupewa gari na wanaume imekuwa issue kubwa.......kiasi kwamba kuna wakati hoja inajadiliwa mtu labda ana tatizo...mtu anaweka comment za ajabu kwamba wasichana wa siku hizi mnafuata hela na mnadanganywa na magari sijui nyumba na vitu kama hivyo.........ndo maana mnateseka............Au mtu umepata mwanaume mwenye uwezo watu wanakukatisha tamaa,mara hawajatulia,atakudharau mara sijui nini.......

Na wasichana tumekuwa tukijaribu kubisha hilo au kusema si wote.........

Nafikiri wote tunapenda maisha mazuri,hayaletwi na hela bali hela ni sehemu tu ya kuwa na maisha bora na yenye furaha.....

Nikiangalia dunia ya sasa,na hasa jamii inayonizunguka siioni tofauti ya kimatendo na kimaadili ya mwanaume mwenye hela na maskini......wanaume asilimia kubwa ni waongo na wanatoka nje ya ndoa na wengine wanashindwa hata kutimiza wajibu wao kama baba na kama mume.........mimi siamini kwamba ukiwa na hela kiasi au usipokuwa nazo inakufanya wewe uwe mwema sana au mwenye upendo wa kweli....

Nafikiri maisha ni kuchagua na bahati, mwanamke ukipata mwanaume mwenye hela nyingi manake hata mwenye mia mbili atasema anazo.... kama UNAMPENDA, mchunguze, chukua muda tafuta ufahamu wa kile anachokifanya kumpatia kipato...... ukimuona anakufaa nenda,ishi maisha yako,Sali,lea watoto wako na kuwa mvumilivu,zaidi jitahidi kuwa wa manufaa kwa jamii yako na wenye shida.

Ukiwezeshwa nawe kaza buti,jijenge,fanya kazi usiwe tegemezi.......na zaidi kuwa msaada kwa mumeo na furaha yake ili aendelee kufanikiwa zaidi na zaidi mkumbushe kuwasaidia wasio na uwezo.
 
Siku hizi naona kupewa gari na wanaume imekuwa issue kubwa.......kiasi kwamba kuna wakati hoja inajadiliwa mtu labda ana tatizo...mtu anaweka comment za ajabu kwamba wasichana wa siku hizi mnafuata hela na mnadanganywa na magari sijui nyumba na vitu kama hivyo.........ndo maana mnateseka............Au mtu umepata mwanaume mwenye uwezo watu wanakukatisha tamaa,mara hawajatulia,atakudharau mara sijui nini.......

Na wasichana tumekuwa tukijaribu kubisha hilo au kusema si wote.........

Nafikiri wote tunapenda maisha mazuri,hayaletwi na hela bali hela ni sehemu tu ya kuwa na maisha bora na yenye furaha.....

Nikiangalia dunia ya sasa,na hasa jamii inayonizunguka siioni tofauti ya kimatendo na kimaadili ya mwanaume mwenye hela na maskini......wanaume aslimia kubwa ni waongo na wanatoka nje ya ndoa na wengine wanashindwa hata kutimiza wajibu wao kama baba na kama mume.........mimi siamini kwamba ukiwa na hela kiasi au usipokuwa nazo iankufanya wewe uwe mwema sana au mwenye upendo wa kweli....

Nafikiri maisha ni kuchagua na bahati, mwanamke ukipata mwanaume mwenye hela nyingi manake hata mwenye mia mbili atasema anazo.... kama UNAMPENDA, mchunguze, chukua muda tafuta ufahamu wa kile anachokifanya kumpatia kipato...... ukimuona anakufaa nenda,ishi maisha yako,Sali,lea watoto wako na kuwa mvumilivu,zaidi jitahidi kuwa wa manufaa kwa jamii yako na wenye shida.

Ukiwezeshwa nawe kaza buti,jijenge,fanya kazi usiwe tegemezi.......na zaidi kuwa msaada kwa mumeo na furaha yake ili aendelee kufanikiwa zaidi na zaidi mkumbushe kuwasaidia wasio na uwezo.



nimependa sana Michelle,
hapo kwenye sentensi yako ya mwisho!!!!
ubarikiwe mama!!!
 
Siku hizi naona kupewa gari na wanaume imekuwa issue kubwa.......kiasi kwamba kuna wakati hoja inajadiliwa mtu labda ana tatizo...mtu anaweka comment za ajabu kwamba wasichana wa siku hizi mnafuata hela na mnadanganywa na magari sijui nyumba na vitu kama hivyo.........ndo maana mnateseka............Au mtu umepata mwanaume mwenye uwezo watu wanakukatisha tamaa,mara hawajatulia,atakudharau mara sijui nini.......

Na wasichana tumekuwa tukijaribu kubisha hilo au kusema si wote.........

Nafikiri wote tunapenda maisha mazuri,hayaletwi na hela bali hela ni sehemu tu ya kuwa na maisha bora na yenye furaha.....

Nikiangalia dunia ya sasa,na hasa jamii inayonizunguka siioni tofauti ya kimatendo na kimaadili ya mwanaume mwenye hela na maskini......wanaume aslimia kubwa ni waongo na wanatoka nje ya ndoa na wengine wanashindwa hata kutimiza wajibu wao kama baba na kama mume.........mimi siamini kwamba ukiwa na hela kiasi au usipokuwa nazo iankufanya wewe uwe mwema sana au mwenye upendo wa kweli....

Nafikiri maisha ni kuchagua na bahati, mwanamke ukipata mwanaume mwenye hela nyingi manake hata mwenye mia mbili atasema anazo.... kama UNAMPENDA, mchunguze, chukua muda tafuta ufahamu wa kile anachokifanya kumpatia kipato...... ukimuona anakufaa nenda,ishi maisha yako,Sali,lea watoto wako na kuwa mvumilivu,zaidi jitahidi kuwa wa manufaa kwa jamii yako na wenye shida.

Ukiwezeshwa nawe kaza buti,jijenge,fanya kazi usiwe tegemezi.......na zaidi kuwa msaada kwa mumeo na furaha yake ili aendelee kufanikiwa zaidi na zaidi mkumbushe kuwasaidia wasio na uwezo.

Aiseee!!!! Leo umekula nini sijui this is vere vere uziful posti tena bora umesema wewe mwenyewe maana angesema mwanaume ingekuwa ishu nyingine tofauti

The Following User Say Thank You to Michelle For This Useful Post:

 
mi mwenyewe niko katika harakati za kuhonga gari, muda si muda my new kilambalamba atakuwa anasukuma ka rav 4 milango mitatu.
 
Siku hizi naona kupewa gari na wanaume imekuwa issue kubwa.......kiasi kwamba kuna wakati hoja inajadiliwa mtu labda ana tatizo...mtu anaweka comment za ajabu kwamba wasichana wa siku hizi mnafuata hela na mnadanganywa na magari sijui nyumba na vitu kama hivyo.........ndo maana mnateseka............Au mtu umepata mwanaume mwenye uwezo watu wanakukatisha tamaa,mara hawajatulia,atakudharau mara sijui nini.......

Na wasichana tumekuwa tukijaribu kubisha hilo au kusema si wote.........

Nafikiri wote tunapenda maisha mazuri,hayaletwi na hela bali hela ni sehemu tu ya kuwa na maisha bora na yenye furaha.....

Nikiangalia dunia ya sasa,na hasa jamii inayonizunguka siioni tofauti ya kimatendo na kimaadili ya mwanaume mwenye hela na maskini......wanaume aslimia kubwa ni waongo na wanatoka nje ya ndoa na wengine wanashindwa hata kutimiza wajibu wao kama baba na kama mume.........mimi siamini kwamba ukiwa na hela kiasi au usipokuwa nazo iankufanya wewe uwe mwema sana au mwenye upendo wa kweli....

Nafikiri maisha ni kuchagua na bahati, mwanamke ukipata mwanaume mwenye hela nyingi manake hata mwenye mia mbili atasema anazo.... kama UNAMPENDA, mchunguze, chukua muda tafuta ufahamu wa kile anachokifanya kumpatia kipato...... ukimuona anakufaa nenda,ishi maisha yako,Sali,lea watoto wako na kuwa mvumilivu,zaidi jitahidi kuwa wa manufaa kwa jamii yako na wenye shida.

Ukiwezeshwa nawe kaza buti,jijenge,fanya kazi usiwe tegemezi.......na zaidi kuwa msaada kwa mumeo na furaha yake ili aendelee kufanikiwa zaidi na zaidi mkumbushe kuwasaidia wasio na uwezo.[/SIZE]


Yaani if you real want true freedom, that is what everyone should do....mambo ya kutegemea watu wengine ni kujipa mzigo ambao ipo siku utakuelemea tu. Kutafuta mali na utajiri ni suala ambao linawezekana kama akili zetu tukiziweka vizuri.
 
nani tena kakusema, mbona kama unampa mtu kidongo?

Siko hapa kutoa madongo,ni maoni tu....imekuwa kana kwamba wanaume wenye hela hawana mapungufu.....au ukiwa na mwanaume mwenye hela hapaswi kukosea...
 
Aliyekudanganya nani kuwa fedha zinztenganishwa na mapenzi. Fedha ni lubricants ya mapenzi dada.
 
Embu nielekeze namna ya kutoa thanks si unajua mambo ya technologia kule kwetu yamekaa kushoto nikupe shukrani zako za dhati
 
Embu nielekeze namna ya kutoa thanks si unajua mambo ya technologia kule kwetu yamekaa kushoto nikupe shukrani zako za dhati

Asante SWADO,sidhani kama unaweza toa thanks via mobile.....nimezipokea,asante kushukuru.....
 
My wish, nikuone one day, unafananaje?, You actually puzzle me with most of your comments, posts and inputs. Hii iko poa, Big up! :clap2:
 
My wish, nikuone one day, unafananaje?, You actually puzzle me with most of your comments, posts and inputs. Hii iko poa, Big up! :clap2:

jamani,am grateful......ukitaka niona utaniona tu Elia niko kawaida kabisa......Big up yourself as well.....
 
pesa ni matokeo na wadada hawana budi kukaa chini na kuhangaikia kutafuta pesa zao , lakini embu tazama mazungumzo meni ya kina dada,yanaegemea wapi .....pesa pesa hata wale wenye vipato siku izi mawazo yao ni kuchuna tu ...hawa wanaume unafikiri hawasikii wala kuelewa wanahitaji kupendwa nao lakini wengi wamekuwa na wasiwasi wakiamini inayopendwa ni mifuko yao

kina dada wanahitaji kubadilika na kujifunza kujitegemea sio ooh kila mara vocha,umeona gagulo zuri,mama anaumwa,offer ya bia na kitimoto hiyo mizinga ndio inayoponza
 
no comment for 2day...ila nahisi kuanza kuku-fuatilia kujua "UMEPATA WAPI" uwezo huu adimu sana kwa wanawake wengi hasa wa dunia ya tatu kama tanzania kuja na hoja +ve na ya-kujenga jamii kama hii... be blezd
 
Back
Top Bottom