Wanawake mwafa na makalio fake

Wanawake mwafa na makalio fake

Dah inasikitisha kweli hivi hawezi kuchomwa utumbo wa m.avi...na lisindano lote hilo....duh
 
Love is when the other person's happiness is more important than your own.

Dah! hawa watu wanatupenda sana!
 
Ni sawa mkuu, basi acheni mabandiko ya kufagilia makalio labda na cc tutabadilika.
Ina maana mkisifiwa ndo mnapata mnkari ya kuweka makalio fake?? Hivi huwa mnafikiria kwa kutumia kichwa kweli
 
Ni sawa mkuu, basi acheni mabandiko ya kufagilia makalio labda na cc tutabadilika.
Sisi hatufagilii hyo mambo mkuu,kama mm ad leo najua kazi ya makalio makubwa ni ili kanga ikae vizur na kwenye zile show vumbi za uswahili cjui zaitwaje vile..ukikutana nalo lanogesha mbaya
 
Mmh aisee hakuna watu vigeu geu kama wanaume. Mara inye kubwa ndio mpango mzima. Saiv tena unasema vingine
Nafikiri hajakosea, anachomaanisha ni haya kutengeneza, huoni pichani anachofanyiwa huyo bidada?
 
hii ni hatari sana ,kuna mambo mengi ya maana ya kufanya ila sio kuongeza makalio na kujichubua ,we dont need fake body
 
Mmmh..yataka moyo mie akaah! Km huna huna tuu tabu yote ya nini kutiwa lisindano lote Hilo

Wanawake wenzangu hawa viumbe(wanaume ) kuwaridhisha ni ngumu tusijitese kwa kiasi hichi

Mungu tusaidie
haaa haaaa bora umejua...
maana si muda utasikia vi english figure ndo vinatakiwa
 
Kuna wanaume wanatoa kabisa hela mkewe au mpenzi wake akafanyiwe hivyo. Mwingine kazi kutoa masimango kwa mwenza wake kisa hana tako(utadhan wakati anatongoza lilikuwepo)matokeo yake ndio hayo kwenye video
Nafikiri hajakosea, anachomaanisha ni haya kutengeneza, huoni pichani anachofanyiwa huyo bidada?
 
Kuna wanaume wanatoa kabisa hela mkewe au mpenzi wake akafanyiwe hivyo. Mwingine kazi kutoa masimango kwa mwenza wake kisa hana tako(utadhan wakati anatongoza lilikuwepo)matokeo yake ndio hayo kwenye video
Mhhh ndio kwanza naskia kwako
 
Back
Top Bottom