Wanawake mwafa na makalio fake

Wanawake mwafa na makalio fake

Nani aliwaambia wanaume wanataka makalio makubwa??? Endeleeni tu kukuza makalio. Unafikiri wanaume wanataka wanawake wenye makalio makubwa kwa ajili ya vivutio vya utalii.
Daktari akimuongezea makalio MTEJA wake
.
Nimeogopa kuiweka video baada ya kufanyiwa procedure.

weka bana we vp?
 
Hatari,Mungu atusaidie sana na atusamehe tunatumia muda mwingi kurekebisha kazi yake ya Upendo kwetu na uumbaji. Maana Sisi ni wazo la Mungu hatupaswi kumrekebisha maana Mungu hakukosea kutuumba jinsi tulivyo
 
Mwanamke angekuwa anajiheshimu asingepata shida yote hiyo,mmeamua kuvaa nusu uchi lazima mpate shida kama hizi
 
Wanaume ndo wakulaumiwa, yaan wanasababisha wanawake wanakua km vichaa.
Mungu anawaona
Wao ndiyo vichaa. Kama Mungu hakukupa maumbile makubwa ya makalio,hayo fake Mungu anayependa? Kwanza unakufuru uumbaji wake
 
Mmmh..yataka moyo mie akaah! Km huna huna tuu tabu yote ya nini kutiwa lisindano lote Hilo

Wanawake wenzangu hawa viumbe(wanaume ) kuwaridhisha ni ngumu tusijitese kwa kiasi hichi

Mungu tusaidie
Tatizo sio kwamba haturidhiki, tatizo lenu ni insecurity. Msisingizie wanaume bure, akina nicki minaj ndio wanaowatia wazimu. Nyimbo zote Zinawaonesha wanawake wakiwa na matako, tena matako yanavutwa katika screen muyaone vizuri. matokeo yake na nyinyi mnataka kuwa na matako kwa sababu mmeaminishwa kuwa na tako kubwa ndio ishu kupitia akina nicki minaj na wenzake.

Kitu kiwe natural tu, kikiwa fake hakina mvuto wowote zaidi ya kicheko. Believe in your natural body and stop being insecured as a result of music videos you women watch.
 
Mmh aisee hakuna watu vigeu geu kama wanaume. Mara inye kubwa ndio mpango mzima. Saiv tena unasema vingine
Wanaume tulizaliwa Kaole Mkuu.

Nyie ni matokeo yetu tuu ndio maana siwalaumu wanawake kwa kutokuwa waaminifu au kutokujiamini kwao maana wanaume pia hatueleweki.

Sema hakuna mwanaume anaye-consider kuwa aoe mke mwenye kalio kubwa
 
Sasa makalio yako kwa tumbo? mbona hiyo mishindano yachomwa kwatumbooo?
Nadhani hapo anakuwa anahamisha mafuta, anayanyonya kupitia hilo sindano halafu anapeleka kwenye makalio. Ukiangalia botched ya E ndo utaona mengi. Watu wana kufuru
 
Tako liwe flat au babkubwa ila kikubwa liwe natural.
 
Mmh aisee hakuna watu vigeu geu kama wanaume. Mara inye kubwa ndio mpango mzima. Saiv tena unasema vingine
And you realy pay attention to them? Follow your instinct and appriciate yourself.....
 
Tulaumiwe sisi wanawake kwa kutojiamini, Lazima ukubali ulivyo
 
Nani aliwaambia wanaume wanataka makalio makubwa??? Endeleeni tu kukuza makalio. Unafikiri wanaume wanataka wanawake wenye makalio makubwa kwa ajili ya vivutio vya utalii.
Daktari akimuongezea makalio MTEJA wake
.
Nimeogopa kuiweka video baada ya kufanyiwa procedure.

Nyie ndo mnasababisha tukipita wenye English figer amtuangalii
 
Nyie ndo mnasababisha tukipita wenye English figer amtuangalii
Mkuu kama Mungu amekupa kaflat screen mshukru Mungu na kama amekupa msambwata mshukru Mungu pia. Kuna wanaume(kama mmi) napenda mwanamke mwenye vimatako vidogo maana itanifanya niishughulikie papuchi kikamilifu. Haya hayo makalio makubwa kwani ni kivutio cha utaliii? Jikubali na maumbile yako. Unaweza ukapata kilema hapo baadae ukiongeza makalio. Na ndo hao baadae makalio yanatunisha na kuwa boga. Usitake sifa za kuangaliwa na wanaume njiani.
 
Mkuu kama Mungu amekupa kaflat screen mshukru Mungu na kama amekupa msambwata mshukru Mungu pia. Kuna wanaume(kama mmi) napenda mwanamke mwenye vimatako vidogo maana itanifanya niishughulikie papuchi kikamilifu. Haya hayo makalio makubwa kwani ni kivutio cha utaliii? Jikubali na maumbile yako. Unaweza ukapata kilema hapo baadae ukiongeza makalio. Na ndo hao baadae makalio yanatunisha na kuwa boga. Usitake sifa za kuangaliwa na wanaume njiani.
Bora kama unatupendaga
 
Bora kama unatupendaga
Tena mkuu huwa nawapenda sana wa dizaini hiyo maana papuchi zao unaweza kuiweka unavotaka. Halafu hawa wenye flat screen ni wepesi kwenye kila aina ya style ya mgegedo. Haya matako makubwa ni kama mapambo tu njiani hayana lolote. Tena siyapendi kweli kweli.
 
Tena mkuu huwa nawapenda sana wa dizaini hiyo maana papuchi zao unaweza kuiweka unavotaka. Halafu hawa wenye flat screen ni wepesi kwenye kila aina ya style ya mgegedo. Haya matako makubwa ni kama mapambo tu njiani hayana lolote. Tena siyapendi kweli kweli.
 

Attachments

Wanaume hatutaki makalio ya kuchonga! Kwanza tunashangaa roho ya ngono inavyo wapelekesha!
 
Back
Top Bottom