Wanawake msituulize maswali haya

Jamani ya dunia mengi, mnapoulizwa mko wapi mtu anataka kujua usalama wako kila siku mnaona watu wanauliwa mara ajali, ni vizuri mwenzio ajue uko upande gani wa mji.
 
umetoka wapi? swali la kijinga kabisa hili we shukuru nimerudi salama sio tena nianze kuhadithia nilipokuwa.
 
Hata wanawake nasikia huwa hawapendi maswali ya kipuuzi kutoka kwa baadhi ya wanaume. Kitu kama
1. Baby umekula leo!?
2. Hivi umevaa kyupi rangi gani leo?
3. Utanipa leo?
4. Simu yako biiiize. Unaongea na nani zaidi yangu!?? ( (ebooo...kwani hana ndugu!?)
 
uko wapi? nisipo jibu linafuata swali lingine uko kwa malaya wako..
 
Ni lazima nijue kama hajala nimtumie pesa,pia ni muhimu nikajua rangi ya chup yake ,halafu kama simu yake iko bize kila saa lazima nihoji,hayo masuala ya ndugu zake natakiwa nisolve mimi sio yeye
 
mpendwa hilo swali linanikera sana..Kwa siku naweza kuulizwa hata mara 20

Pole mpendwa....vumilia tu mtulize moyo wifi na umjibu...
Mahaba hayakosi karaha ndogo ndogo ila ndio mapenzi hayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…