Muda mwingine cm yako haikuwa hewani! Kwanini.... "sasa unaponiuliza mambo ya mtandao mi ntajuaje.." wanaume kwa hasira wanamaliziaga kwa kusema 'wanawake ni kama watoto ndo maana hata wizara yao ni moja' kutwa nzima kuuliza maswali ya ajabuajabuuuu..
Muda mwingine cm yako haikuwa hewani! Kwanini.... "sasa unaponiuliza mambo ya mtandao mi ntajuaje.." wanaume kwa hasira wanamaliziaga kwa kusema 'wanawake ni kama watoto ndo maana hata wizara yao ni moja' kutwa nzima kuuliza maswali ya ajabuajabuuuu..
Akikuuliza, "Hivi wasichana wengine wanakusumbua?" anakuwa anamaanisha nini? Ni wivu au? Am very loyal to the people I Loves ... Swali kama hilo linanikera.
Wanaume hebu tiririkeni maswali ambayo hampendi kuulizwa na wake au wapenzi wenu ili wayajue. Mie swali linalonichosha ni kama nikiulizwa ""una ratiba gani leo"?