Haya weeee! naona kabisa itakuwa kama ya huyu aliyejaribu jiandae mkao wa kulia tu...
mmmhh ngoja na mie nijaribu hiyo siku moja
labda itafanya kazi..
halafu nta mtuma rafiki yangu..
aliejazia ma hips, mguu chupa ya bia..
sura inateleza ka mlendaa
ameumbika kuliko Ry C...
Hee heee Subutu!
mke kamtuma shogake amtest mumewe km ni mwaminifu. Mume alipostukia ni mtego akajiingiza line wakabadili hotel ambayo mkewe na shost walitaka wende akazma na cm za wote akalamba. Mke anahaha hajui wapo wapi. Shost wake kanogewa anataka tena!
mke kamtuma shogake amtest mumewe km ni mwaminifu. Mume alipostukia ni mtego akajiingiza line wakabadili hotel ambayo mkewe na shost walitaka wende akazma na cm za wote akalamba. Mke anahaha hajui wapo wapi. Shost wake kanogewa anataka tena!
mmmhh ngoja na mie nijaribu hiyo siku moja
labda itafanya kazi..
halafu nta mtuma rafiki yangu..
aliejazia ma hips, mguu chupa ya bia..
sura inateleza ka mlendaa
ameumbika kuliko Ry C...
Wengi sana wana tabia hiyo..unapigiwa simu kumbe mtu yuko na wife....
Huyo jamaa amenifurahisha...Bora lawama kuliko fedheha !
Preta nini tena? unataka kufanya test na wewe?
Hahaaaaa nimechekaje lol. Huyo kweli ni mwanaume wa shoka
mke kamtuma shogake amtest mumewe km ni mwaminifu. Mume alipostukia ni mtego akajiingiza line wakabadili hotel ambayo mkewe na shost walitaka wende akazma na cm za wote akalamba. Mke anahaha hajui wapo wapi. Shost wake kanogewa anataka tena!
Natamani mamushka wewe ndio uwe rafiki ya mke wangu alafu unakuja kutest zaliHee heee Subutu!
nilikuwa na mpango huo lakini nimeahirisha...........