Wanawake msikengeuke kisa eti mmefika chuoni ama una Degree

Sikatai wapo ambao hawajasoma ila wana uelewa mzuri wa mambo lakini mtu aliyesoma hawezi kuwa kichwa empty hata siku moja.....yapo mambo anayoyajua ambayo asingeyajua kama asingekwenda shule

Hata hivyo shule tunajifunza mengi zaidi ya yale ya darasani.Kile kitendo tu cha kukutana na watu toka sehemu mbalimbali mkaishi pamoja kwa muda flani tayari ni somo.
 
BIG LIE! Hamna kitu kibaya sanaa kama UJINGAAAAAAA! MTU MWENYE DEGREE ASIE NA KAZI SI SAWA NA RAS SIMBA DIPLOMA UNTD! Kabisaaaaaaa

hhahaaaaa,,,. its not a lie,Kuna binti ananisumbua ,, anigee papuchhh,,, graduate, ananiingia kwa ya "eti nimnunulie smart phone" kachoka.

Alikua hashikiki pindi yupo chuo. Na kutuona sisi mapimbi. kumbe tulishapita
 
Hata hivyo ni vigumu sana kwa binti msomi kumkubali kijana mwenye elimu ya kawaida, huu ndio ukweli.

We mama naona unapishana na mda. Huku mtaani wauza urrembo wana wala sana Mabint na degree zao. Jua kali hela hawana na wanataka kua up to date.

Unazeeka Mamndenyi ..
 
Last edited by a moderator:
Tena wee ndo inabkubidi ubadilike kabisa, hako kadegree kako kamekupa kichwa mpaka ukaniita boya juzi....teeh teeh

Nikibadilika utaleta posa kwa mzee naniliu? Kama ni hivyo mbona fasta tu...dk tano nmeshakuwa mtu mwingine kabisa
 
Dunian kla mtu ameletwa kwa kusudi la mungu,thats why kna watu wa class tofaut,wanaounda cycling moja ya maisha,unamdharau mtu wa chet,whle anakuelimishia mwanao,au ww ulifundishwa na prf whn u was in prmry ,mkifankiwa dont be presitage(Lara 1,hpe u see)

Hhahaaaaaaa! MI SIJAMDHARU MTU, BUT I CALL FOR PEOPLE TO CHALLENGE THEMSELVES! TRY HARDER! FIGHT TO THEIR LAST BREATH KUJOIN THE WINNERS TEAM!

A MANS DESTINY IS NOT RULED BY KARMA OR THE HEAVENS, A MANS DESTINY IS RULED BY HIS OWN WILL, AMBITION AND DETERMINATION TO EXCEL, ACHIEVE, ACCOMPLISH. The heavens are there sometimes to bless your struggle, sometimes to bring ghosts to your winning ships, whatever the case YOU SHOULD DEFINITELY KEEP RULING YOUR DESTINY!

Perdon my lack of sense of humor, lakini if it is NOT GOOD ENOUGH, i have to say it is NOT GOOD ENOUGH.
 
Am speechless umetisha kama Ak47 lara 1,kikubwa kibongo ni pesa tu hvy vngne vitakuja baada ya kuwa na pesa
 
Last edited by a moderator:
Bytheway.....Shigongo hana shule lakini ana pesa.
Sasa we kijana endelea kupiga miayo tu na kwenda fiesta kwa sana ukisubiria bongo star search ya madam Rita ije ikutoe......utasandaa!!!

MY TAKE:
Huna elimu tafuta pesa.
Usidanganywe na faraja ya uongo kuwa wenye degree wengi wapo mtaani na kazi hawana, wenzio saa yeyote ile wanaulaaaa na kukuacha we kitaa kinaendelea kukuchapa kisawasawa!!
 
hhahaaaaa,,,. its not a lie,Kuna binti ananisumbua ,, anigee papuchhh,,, graduate, ananiingia kwa ya "eti nimnunulie smart phone" kachoka.

Alikua hashikiki pindi yupo chuo. Na kutuona sisi mapimbi. kumbe tulishapita

Hayo ni mapito tu, kwani hiyo ndo sign kuwa atachoka maisha yote?
 
Degree kitu gani unaweza kuta mtu hajasoma ila ana uelewa mpana wa maisha binafsi siangalii kigezo cha kua una degree au ushuzi nachotizama unafaa kua mume???? Kwenda darasani si kuelemika waweza soma.madarasa yote still bichwa likawa empty!!!!:mad::mad::mad:

Ukizingatia 95% ya wahitimu wa vyuo vikuu nchini wanasoma kwa kukalili. Unakuta mtu kakalili kitabu chote, akibadilishiwa lugha kidogo tu, anakosa swali analolijua.
 
Dawa yao ni kuwa na Fedha za kutosha tu. Hapo atakumbuka ile dibeti yao ya Fedha na Elimu kipi bora.
 
Wanaume naomba muwe waelewa, naona wengi wenu huwa mnajihisi tu ndio maana mnataka VII na IV.Mwanaume anaemmiliki mwanamke anaemzidi elimu asipotumia akili yake na sio ya ndugu au rafiki lazima atamuona mkewe hafai au mpenzi.

Akitumia akili ya ndugu au rafiki,mke/mpenzi akimwambia kitu cha maendeleo ni lazima atawauliza hao ndugu zake na mwisho watasema anajifanya amesoma.

Akitumia akili yake peke yake watajadiliana na mambo yao yatakuwa poa.
 
Sasa km huyo shigongo ni kilaza, mbona amepiga mkwanja kuliko huyo wife mwenye Master..... wakati mwingine haya mashule ya darasani tunaringia bure tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom