Wanawake msikengeuke kisa eti mmefika chuoni ama una Degree

umepigwa chini nini mdau?acha mtu awe na mwanaume wa level yake,mambo ya kujipa moyo cjui shigongo kafanya nini yalishapitwa na wakati,pambana!...
ndo akili zenu hizo, kwani kutoa ushauri ni mpaka niwe mhanga?
 
Hata hivyo ni vigumu sana kwa binti msomi kumkubali kijana mwenye elimu ya kawaida, huu ndio ukweli.
 
Si busara mdada kumtupilia mbali mpenzi wake wa mwanzo kisa tu eti kafika chuo. Mapenzi ni maelewano na maridhiano na sio elimu.
Mshinga
 
Last edited by a moderator:
Degree kitu gani unaweza kuta mtu hajasoma ila ana uelewa mpana wa maisha binafsi siangalii kigezo cha kua una degree au ushuzi nachotizama unafaa kua mume???? Kwenda darasani si kuelemika waweza soma.madarasa yote still bichwa likawa empty!!!!:mad::mad::mad:

Sikatai wapo ambao hawajasoma ila wana uelewa mzuri wa mambo lakini mtu aliyesoma hawezi kuwa kichwa empty hata siku moja.....yapo mambo anayoyajua ambayo asingeyajua kama asingekwenda shule
 
Sikatai wapo ambao hawajasoma ila wana uelewa mzuri wa mambo lakini mtu aliyesoma hawezi kuwa kichwa empty hata siku moja.....yapo mambo anayoyajua ambayo asingeyajua kama asingekwenda shule
Khantwe mapenzi ni.maelewano kwanza na maridhiano
 
Last edited by a moderator:
Sifa ya msomi ni kuwa-hamble na cio being CORRATERAL DAMAGER,kuna mtu hmu kla nyanja yee n hodar,i doubt elimu yke kaipata mbngun au dunian? ungesomea UDKT wa bnadamu cjui ungenataje!sembuse biashara ambayo u can guess & win,ulaya kna dpl&ctft,isiwe bongo
 
Wale wadada wasioisha kudharau wanaume wasio na elimu ama wao hawawataki ama wanashangaa na kuwacheka rafiki zao wenye wapenzi wasioenda kidato wanapaswa kupata somo kutokakwa mwandishi nguli wa vitabu Eric James Shigongo.









ERIC JAMES SHIGONGO ANA MKE MWENYE ELIMU YA MSTERS LAKINI YEYE ALIKOMEA DARASA LA SABA TU. ALIKUWA AKIONGEA VOICE OF AMERICA KWENYE STRAIGHT TALK TO AFRICA ON AFRICAN WRITERS.

KAMA HAITOSHI HATA DARASANI ALIKUWA NDIO KILAZA WA DARASA KWAKUSHIKA MKIA NA HATA KUPATA SIFURI KIASI MPAKA AKAWA AMEPEWA JINA LA MADASO( hili ni neno la kisukuma likimaanisha nguo iliyoisha na kuchakaa ambayo haifai tena kuvaliwa, kwa kiswahili rahisi ni sawa na tambala, na jina hilo kwa haraka haraka katika kisukuma linamtambulisha shigongo kama mtu asiye na faida yoyote).


Mabinti wapendeni wapenzi wenu bila kujali hali yao kama mlishakubaliana toka mwanzo, just fight for life.

Hizi habari za kukengeuka kila kila mnapofika chuo na kujiona mmesoma sana na kuwatupilia mbali wapenzi wenu kisa wao hawakupenya kufika chuo ama hawakusoma si suluhisho la mapenzi wala maisha.

Stori nyingine ni inspiration kwa vijana na hapa si mahala pake.


Degree ni formality in life sio kitu cha ajabu life must move on with/without it
 
Dunian kla mtu ameletwa kwa kusudi la mungu,thats why kna watu wa class tofaut,wanaounda cycling moja ya maisha,unamdharau mtu wa chet,whle anakuelimishia mwanao,au ww ulifundishwa na prf whn u was in prmry ,mkifankiwa dont be presitage(Lara 1,hpe u see)
 
Na believe me,kwa impact ya elimu ytu ya bongo inayomjaza mtu imignation ambazo hazpo,kupga hatua iz an issue,hta Shigongo angekuwa na degree asingekuwa alvyo ss,si msomi angewezaje kulala nje aksaka mafnkio dont play wth a success,its nt lke fumba fumbua.
 
Wanawake wenzangu SMENI SANAAAAAA! USIKU NA MCHANAAAAAA! SOMA MPAKA UBONGO USEME STOOOOOP! Hususani watoto wa wakulima, na nyie waendekeza FREE PUMBU maana mtasuguliwa pumbu hatariiii, na msipewe kitu cha maana chochote. Hahahahaaaaaa! Ila kama una ki Masters chako aaaaah hata buzi likikwambia njoo nikuweke hapa CREDENTIALS UNAZO UONGOOOO? Umeula hujaulaaa? Inahuuuuu? Au bosi akikupiga Pumbu kuna promotion unamshika hizo hizo pumbu na jicheti lako waitaka promotion atachomokea wapi?

Lakini usiposoma UTAISHIA KUJIKOMBA KOMBA KWA HAWA WANAUME WENYE VIDEGREE KAMA MLIVOVIITA WENZETU WAKATI SIE WANAWAKE WASOMI WENZAO TUNAWAONA FREE P TU NAO VILE VILE, ATANIAMBIA NINI WAKATI GPA NAMZIDI, BODI WANANITAMBUA TUKISIMAMISHWA KWENYE INTERVIEW WATUWASEME SU NAMPOTEZAAA MBAYA, YEYE VIMTIANI VYA BODI VINAMJAMBISHA JAMBISHA! Hahahahaaaaaaaa! It is really pathetic usiposoma UNASHOBOKA MAMBO MADOGO SANAAAAAA, mno mno mnooo mpaka unajiabisha ! amu juziile point ya kamradi kako ka research, NIMRI na Elizabeth Glacier ILINISIKITISHA SANAAAAA! Hahahaaaaaaa!

Hata kama huna kazi unaishi kwa matumaini IKO SIKU UTAPATA, na hata unavofanya biashara zako tofauti kabisaaa na APECHE ALOLO, hata utoaji wako wa hoja mbele za watu tofauti kabisaaaaa! Na hata uendeshaji wa familia tofauti kabisaaaaa! PIA ELIMU INAKUPA CHANSI LA KUJISHAUAAAAA MWENZANGU NA KUWACHAPA WATU BAKORAAA! Unakuta kidume kinajishebudua nina Masters ya Arts huko (MASTERS NI MASTERS LAKINI OOOOOH) Unamtiza kama mpira wa kona, ACTUALLY NA MIMI NINA MBA,Plus nimeapply Phd, prbably next year naanza! THE EXPRESSION IN HIS FACE WILL BE PRICELSS, manake si alikuona mchovu tuuu! sasa kama Ras Simba hapo ndugu lazima ukiss his big black a.ss

ISITOSHE UKISOMA U GET TO MINGLE WITH HIGH CLASS AND INFLUENCIAL PEOPLE! Hawa watoto wakishua rahisi zaidi kukutana nao shule na kujenga bond, kuliko mtaani. plus wanakuheshimu sanaaa. Hata shule ikiisha you get to keep the connections.

MSICHANA KAMA HUTAKI KUWA MTU WA HOVYO HOVYO USIKIMBIE UMANDE NENDA SHULEEEEEE, HATA AKILI HUNA OKOTEZA OKOTEZA UTAFIKAAAA TU!

LARA 1 Kwa hili nimekuelewa....soooo cute!!!!!!
 
huo mfano wa shigongo sijaupenda.
mke wake ana masters sijakataa ila nani mwenye pesa kumzidi mwenzake.. mwanamke hata awe professor nawe hujawahi kunusa darasa ila una pesa atakupenda tu.. mwanaume hata uwe professor na hauna pesa hakuna mwanamke atakutaka.
 
Wale wadada wasioisha kudharau wanaume wasio na elimu ama wao hawawataki ama wanashangaa na kuwacheka rafiki zao wenye wapenzi wasioenda kidato wanapaswa kupata somo kutokakwa mwandishi nguli wa vitabu Eric James Shigongo.


ERIC JAMES SHIGONGO ANA MKE MWENYE ELIMU YA MSTERS LAKINI YEYE ALIKOMEA DARASA LA SABA TU. ALIKUWA AKIONGEA VOICE OF AMERICA KWENYE STRAIGHT TALK TO AFRICA ON AFRICAN WRITERS.

KAMA HAITOSHI HATA DARASANI ALIKUWA NDIO KILAZA WA DARASA KWAKUSHIKA MKIA NA HATA KUPATA SIFURI KIASI MPAKA AKAWA AMEPEWA JINA LA MADASO( hili ni neno la kisukuma likimaanisha nguo iliyoisha na kuchakaa ambayo haifai tena kuvaliwa, kwa kiswahili rahisi ni sawa na tambala, na jina hilo kwa haraka haraka katika kisukuma linamtambulisha shigongo kama mtu asiye na faida yoyote).


Mabinti wapendeni wapenzi wenu bila kujali hali yao kama mlishakubaliana toka mwanzo, just fight for life.

Hizi habari za kukengeuka kila kila mnapofika chuo na kujiona mmesoma sana na kuwatupilia mbali wapenzi wenu kisa wao hawakupenya kufika chuo ama hawakusoma si suluhisho la mapenzi wala maisha.

Stori nyingine ni inspiration kwa vijana na hapa si mahala pake.

sijaangalia hicho kipindi....lakini kama ERIC SHIGONGO angeulizwa...."ukipewa nafasi TENA ya kwenda shule hadi top level leo ungekubali??? yaani arudi nyuma maisha yake achague kwenda shule au a fight kama alivyofight naamini angechagua kwenda shule na angetumia shule kufika hapo alipofika.......SHULE MUHIMU UKIWA NA NAFASI SOMA......Aakina BILL GATES,ZUCKERBURG NI WACHACHE SANA
 
huo mfano wa shigongo sijaupenda.
mke wake ana masters sijakataa ila nani mwenye pesa kumzidi mwenzake.. mwanamke hata awe professor nawe hujawahi kunusa darasa ila una pesa atakupenda tu.. mwanaume hata uwe professor na hauna pesa hakuna mwanamke atakutaka.

Mkuu umesema jambo LA maana Sana'a
 
Wanawake wenzangu SMENI SANAAAAAA! USIKU NA MCHANAAAAAA! SOMA MPAKA UBONGO USEME STOOOOOP! Hususani watoto wa wakulima, na nyie waendekeza FREE PUMBU maana mtasuguliwa pumbu hatariiii, na msipewe kitu cha maana chochote. Hahahahaaaaaa! Ila kama una ki Masters chako aaaaah hata buzi likikwambia njoo nikuweke hapa CREDENTIALS UNAZO UONGOOOO? Umeula hujaulaaa? Inahuuuuu? Au bosi akikupiga Pumbu kuna promotion unamshika hizo hizo pumbu na jicheti lako waitaka promotion atachomokea wapi?

Lakini usiposoma UTAISHIA KUJIKOMBA KOMBA KWA HAWA WANAUME WENYE VIDEGREE KAMA MLIVOVIITA WENZETU WAKATI SIE WANAWAKE WASOMI WENZAO TUNAWAONA FREE P TU NAO VILE VILE, ATANIAMBIA NINI WAKATI GPA NAMZIDI, BODI WANANITAMBUA TUKISIMAMISHWA KWENYE INTERVIEW WATUWASEME SU NAMPOTEZAAA MBAYA, YEYE VIMTIANI VYA BODI VINAMJAMBISHA JAMBISHA! Hahahahaaaaaaaa! It is really pathetic usiposoma UNASHOBOKA MAMBO MADOGO SANAAAAAA, mno mno mnooo mpaka unajiabisha ! amu juziile point ya kamradi kako ka research, NIMRI na Elizabeth Glacier ILINISIKITISHA SANAAAAA! Hahahaaaaaaa!

Hata kama huna kazi unaishi kwa matumaini IKO SIKU UTAPATA, na hata unavofanya biashara zako tofauti kabisaaa na APECHE ALOLO, hata utoaji wako wa hoja mbele za watu tofauti kabisaaaaa! Na hata uendeshaji wa familia tofauti kabisaaaaa! PIA ELIMU INAKUPA CHANSI LA KUJISHAUAAAAA MWENZANGU NA KUWACHAPA WATU BAKORAAA! Unakuta kidume kinajishebudua nina Masters ya Arts huko (MASTERS NI MASTERS LAKINI OOOOOH) Unamtiza kama mpira wa kona, ACTUALLY NA MIMI NINA MBA,Plus nimeapply Phd, prbably next year naanza! THE EXPRESSION IN HIS FACE WILL BE PRICELSS, manake si alikuona mchovu tuuu! sasa kama Ras Simba hapo ndugu lazima ukiss his big black a.ss

ISITOSHE UKISOMA U GET TO MINGLE WITH HIGH CLASS AND INFLUENCIAL PEOPLE! Hawa watoto wakishua rahisi zaidi kukutana nao shule na kujenga bond, kuliko mtaani. plus wanakuheshimu sanaaa. Hata shule ikiisha you get to keep the connections.

MSICHANA KAMA HUTAKI KUWA MTU WA HOVYO HOVYO USIKIMBIE UMANDE NENDA SHULEEEEEE, HATA AKILI HUNA OKOTEZA OKOTEZA UTAFIKAAAA TU!

Nimependaje point zako.Alieenda shule ameenda tu jamani hata kama akitoka na zero.Mtu akiamua kukengeuka ameamua tu.

Kisemo chako ukishakua na shule hata type ya wanaume watakaokufata inabidi wajitathmini sana.

Hao wa type ya shigongo ni mmoja katika mia.( huna elimu afu upate mwanamke aloenda shule).
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom