To yeye
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 19,173
- 34,332
Ili uwalete mpaka kitandani kwetuWee njoo nikuwowe utulie uhudumiwe
Ili uwalete mpaka kitandani kwetuWee njoo nikuwowe utulie uhudumiwe
Watasaidiana wenyewe. Mtu anajiita Swahumu hafu simu jina lije Sakina.Hukuona hitaji lake la kwanza wewe uko la pili
Wee jiko ukapate badoo🤣🤣🤣🤣 wa huko wote wapo kutafuta kidume wakumtoa out wakulane tuu.😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 Mkuu wewe tunajribu jaribu ila unaweza chukua jiko
Alafu hivi hii kitu ya kwamba eti umemgegegda hadi kitandani kwetu i amuwaga na mantiki gani? Sielewagi ujue.Ili uwalete mpaka kitandani kwetu
Huyu ni binti yuko Mtwara kwa mujibu wa maelezo yake ni kuwa mwenye ujauzito amefariki kwa ajali.Weka namba yake tutoe sadaka....ila hilo la kwanza la mwanaume yeyote awe baba wa mtoto asahau tena asahau kabisa wanawake siku hizi wamekuwa ni watu wa hovyoo na hawaaminiki tena.
Hahahahah ngoja kisenti changu nilichotaka kuchovya nikamwagilia moyo bhanaAlafu hivi hii kitu ya kwamba eti umemgegegda hadi kitandani kwetu i amuwaga na mantiki gani? Sielewagi ujue.
Wee hofu yako tuu. Mbona na mie nitakupa uhuru wa kwenda kutest de libolo zingine ata ikiwezekana wee mkaribishe nyumbani
Kweli Dunia imekwisha😳🙌Alafu hivi hii kitu ya kwamba eti umemgegegda hadi kitandani kwetu i amuwaga na mantiki gani? Sielewagi ujue.
Wee hofu yako tuu. Mbona na mie nitakupa uhuru wa kwenda kutest de libolo zingine ata ikiwezekana wee mkaribishe nyumbani
Muelekeze taasisi zinazoweza kumsaidia kwa mtwaraHuyu ni binti yuko Mtwara kwa mujibu wa maelezo yake ni kuwa mwenye ujauzito amefariki kwa ajali.
Narudia ni kwa mujibu wa huyo binti.
Siwezi kuthibitisha uhalali wa maelezo yake ndio maana nimetumia neno..mujibu.
Mkuu mimi sio mwanamke, msaada niliofanya ni kuwapeleka wanawake wenzie wampatie msaada hata kumpeleka kwenye taasisi zao huko
Huwa sifanyi ujinga huo, kama naweza kumsaidia bila kujali natapeliwa au laa yaani nampa kile ambacho niko tayari kumsaidia na sio vinginevyo.Muelekeze taasisi zinazoweza kumsaidia kwa mtwara
Hahaha hatari kabisa.Kweli Dunia imekwisha😳🙌
Mi poa,wazima kamanda wanguHahaha hatari kabisa.
Mzima lakini wewe....wanafunzi awajambo?
umewaza km mimi😂😂😂kwa iyo wale wa tuma kwenye namba hii wamehamia huku??