Wanawake mnatuchukuliaje sisi Wanaume?

Wanawake mnatuchukuliaje sisi Wanaume?

Ni huzuni kwa kweli, mtu anajipinda kushusha mistari pm anaona haitoshi anakuja na hadharani kumbe dume lenzie linamchora tu
Halafu akija hadharani sasa majibu anayopewa sasa ya kumkata maini ila wanaume wa jf wana moyo wa pekee mtu humjui hujui anafananaje unaanza kushusha mistari mpaka kuweka na thread
 
Back
Top Bottom