jungle boy
Senior Member
- Aug 6, 2015
- 107
- 27
Mkuu perception yangu mimi iko hivi, kuna vitu vingi sana vinapita mpaka kufikia mtu kuchora tattoo. Ni lazima mtu awe associated na makundi ya watu wanaochora hayo majikitu ambao in realty huwa sio decent people. Pili ni lazima awe convinced na mtu, sasa kama kaweza kuwa convinced easily kuchora tattoo kiunoni atashindwaje kuchora makalioni kabisa kama wale wanawake wa movie za kiutu uzima? Kwangu mimi nataka ngozi iwe ngozi na kama ina alama yake ya asili iwe hiyo na kama ana kovu liwe hilo hayo makovu ya makusudi kwa jina la urembo mi hapana kwa kweli. Sitaki kuamini kama unakuwa stimulated na tattoo!
Yapi well said