barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,405
- 29,802
Mimi huo urembo unipite tu, nikiwaona wadada wenzangu wamevaa nahisi kutapika!
eeeeeeeh! kumbe wee ni ke? nakuonaa majukwaa ya michezo na huwa sijawahi kufikiri kuwa ni Ke!!
Mimi huo urembo unipite tu, nikiwaona wadada wenzangu wamevaa nahisi kutapika!
hilo pini la pua halipendezi linavyoning'inia ka ma kamasi.akina dada mnatuchefua kwa hilo pini kamasi.
kwi kwi kwi teh teh teh mkuu una makusudi, ina maana hata hiyo Avatar hujaiona?eeeeeeeh! kumbe wee ni ke? nakuonaa majukwaa ya michezo na huwa sijawahi kufikiri kuwa ni Ke!!
Mimi huo urembo unipite tu, nikiwaona wadada wenzangu wamevaa nahisi kutapika!
Huyo ni kimeo
Nyie wote hamnishindi mimi kwa kuchukia mwanamke alietoboa pua! Mi hata mwanamke alietoboa sikio zaidi ya mara moja huwa namuona mshamba tuu.. Sawa na anaevaa cheni mguuni
eeeeeeeh! kumbe wee ni ke? nakuonaa majukwaa ya michezo na huwa sijawahi kufikiri kuwa ni Ke!!
Wengine wanatoga pini kwenye ulimi, kwenye kope za macho?
Mwanamke akivaa kipini puani huwa sitamani hata kusalimiana nae, ni uswahili uliopitiliza!
Mi napenda sana..wangu anazo sehemu zote..puani,masikioni,kwenye kope,kwenye ulimi,papuchi,kitovuni n.k