hilo pini la pua halipendezi linavyoning'inia ka ma kamasi.akina dada mnatuchefua kwa hilo pini kamasi.
Pole pole ma braza. Ka tattoo kadogo ka kichokozi huku nyuma karibu na Masaburi wee mbona raha tosha? Msi-generalize bwana kwani kwenye haya mambo ni kila mtu na preferences zake!Kusema ukweli kutoka ndani ya moyo wa sakafu yangu (Ah Sakafu ya Moyo wangu) Kama umejitoboa pua, au mdomo au umechora mitattoo, mi nipite tu maana hata kama we mzuri kama malaika ntakudisgrade to 0%
Pole pole ma braza. Ka tattoo kadogo ka kichokozi huku nyuma karibu na Masaburi wee mbona raha tosha? Msi-generalize bwana kwani kwenye haya mambo ni kila mtu na preferences zake!
Uko sahihi mkuu. Ni kila mtu na preferences zake na tusilazimishane na kufanyiana objective generalizations kwenye suala ambalo ni 100% subjective. Hata mimi sitaki kuamini kama huwi stimulated na tattoo. Binafsi ka tattoo kadogo mf. ka ua waridi linalochanua hapo nyuma basi ni urembo tosha na mzuka balaa hasa binti awe light skinned hivi uwiiiiii!Mkuu perception yangu mimi iko hivi, kuna vitu vingi sana vinapita mpaka kufikia mtu kuchora tattoo. Ni lazima mtu awe associated na makundi ya watu wanaochora hayo majikitu ambao in realty huwa sio decent people. Pili ni lazima awe convinced na mtu, sasa kama kaweza kuwa convinced easily kuchora tattoo kiunoni atashindwaje kuchora makalioni kabisa kama wale wanawake wa movie za kiutu uzima? Kwangu mimi nataka ngozi iwe ngozi na kama ina alama yake ya asili iwe hiyo na kama ana kovu liwe hilo hayo makovu ya makusudi kwa jina la urembo mi hapana kwa kweli. Sitaki kuamini kama unakuwa stimulated na tattoo!
Hahahaa nakutakia kila la kheri mkuuUko sahihi mkuu. Ni kila mtu na preferences zake na tusilazimishane na kufanyiana objective generalizations kwenye suala ambalo ni 100% subjective. Hata mimi sitaki kuamini kama huwi stimulated na tattoo. Binafsi ka tattoo kadogo mf. ka ua waridi linalochanua hapo nyuma basi ni urembo tosha na mzuka balaa hasa binti awe light skinned hivi uwiiiiii!
Huyo ni kimeoMi napenda sana..wangu anazo sehemu zote..puani,masikioni,kwenye kope,kwenye ulimi,papuchi,kitovuni n.k
Huyo ni kimeo